Wimbo 'Kata ya Maji Ukweni' ni wa OSS

Wimbo 'Kata ya Maji Ukweni' ni wa OSS

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,322
Reaction score
56,058
watu wengi wale waze wa umri wangu wamekuwa wakijichanganya kidogo kuhusu wimbo wa kata ya maji ukweli wakidhani umepigwa na ddc mlimani park ukweli umepigwa na orchestra safari sound oss
 
watu wengi wale waze wa umri wangu wamekuwa wakijichanganya kidogo kuhusu wimbo wa kata ya maji ukweli wakidhani umepigwa na ddc mlimani park ukweli umepigwa na orchestra safari sound oss

Kina nani hao waliojichanganya mkuu Zomboko
 
ddc mwanzo mwisho! ushasikiliza oh dear? tufurahi na wana sikinde, njia ya kwetu? ukitaka ufurahi kila jmosi njoo uburudike na wana sikinde oyee
 
Labda kinachowachanganya watu na kudhani ni Sikinde ni sauti za Cosmas Chidumule na Hamisi Juma "Maalim Kinyasi", ambao walijiunga na OSS wakitokea Sikinde.
 
uwekeni basi tuusikie wengine hatuujui kabisa
 
Baada ya kunywa fundo tatu za maji,kanyang'anywa kata mdomoni kabaki na kiu jamani oh,
Siwezi x2 kutoa nadhiri,japo wamenuwiza kulivuruga penzi letu,siiweeeezi.
Nalog off
 
Back
Top Bottom