Young Killer akiwa na Banana Zorro - Umebadilika

Young Killer akiwa na Banana Zorro - Umebadilika

Mkito.com

New Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2
Reaction score
1
YOUNG KILLER bado ni msanii mchanga lakini mambo anayofanya ni makubwa. Kazi zake zimekuwa na ladha tofauti sana na ambacho tumesikia mpaka sasa kutoka kwa wasanii wa Hip Hop hapa nchini. Mfano mzuri sana ni hii kazi yake ya mwisho iitwayo UMEBADILIKA ambapo amemshirikisha Banana Zorro. Tuendelee kufurahia jinsi Hip Hop ya Tanzania unavyoendelea kubadilika kutoka enzi za East Coast, Mr 2, X Plastaz n.k.

https://mkito.com/song/umebadilika-ft-banana-zorro/2186 :cool2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom