Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,502
- 6,458
Kuna wimbo mmoja naupenda sana lakini sina bahati ya kuujua wala kuwa nao!! Ni wa kitambo kidogo nimekuwa nikiusikia kwenye maredio tu, jina lake sijwahi kulijua.
Wimbo sijui umeimbwa na nani ila amemshirikisha Banza Stone na hata sehemu ninazozipenda zaidi ni zile alizoimba Banza!
Banza anaimba hivi "Hata ukoo sina, sina ndugu wa damu. Wala kabila sina udini, sijui mmakonde!! Au msukuma, sijui mmasai au mluguru"
Kuna bridge ya kimchiriku Banza anaimba "Nalia lia mama oooh, uko wapi mama oooh, nalia lia mama ooh! Uko wapi mama oooh!! Nataka kucheza eeh nataka kudekaa!! Kucheza eeeh! Nataka kudekaaa!!"
Kama kuna mtu anao, au anaujua jina mnipatie niweze kuupata, wimbo unanikuna sana huu. Msaada wenu please wana JF
Wimbo sijui umeimbwa na nani ila amemshirikisha Banza Stone na hata sehemu ninazozipenda zaidi ni zile alizoimba Banza!
Banza anaimba hivi "Hata ukoo sina, sina ndugu wa damu. Wala kabila sina udini, sijui mmakonde!! Au msukuma, sijui mmasai au mluguru"
Kuna bridge ya kimchiriku Banza anaimba "Nalia lia mama oooh, uko wapi mama oooh, nalia lia mama ooh! Uko wapi mama oooh!! Nataka kucheza eeh nataka kudekaa!! Kucheza eeeh! Nataka kudekaaa!!"
Kama kuna mtu anao, au anaujua jina mnipatie niweze kuupata, wimbo unanikuna sana huu. Msaada wenu please wana JF