Msaada kiburudani

Msaada kiburudani

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,880
Kuna hili lingoma sijui linaitwaje.......limenisuuza mbayaaa.....Mwenye kuliimba anaitwa Mr Flavor......ni remix....kalipiga Kayanda kwenye top 20 leo Clouds (kwa waliokuwa wanasikiliza)......Naomba anayeweza kuliweka hapa aniwekee tafadhali nizidi kusuuzika roho yangu......
Thanks
 
Kuna hili lingoma sijui linaitwaje.......limenisuuza mbayaaa.....Mwenye kuliimba anaitwa Mr Flavor......ni remix....kalipiga Kayanda kwenye top 20 leo Clouds (kwa waliokuwa wanasikiliza)......Naomba anayeweza kuliweka hapa aniwekee tafadhali nizidi kusuuzika roho yangu......
Thanks


Mzee Samwel Sitta akisema vijana tunapenda FIESTA tunasema katutusi, haya huyu mwenzetu kweupeeeeeeeee anajidhihirisha. bro/sis nenda kazini huu sio muda wa mambo yakipuuzi utailetea baa la njaa bure familia yako huko mbeleni kwa kutokujiandaa sasa. ukitaka kujua hayo nenda Clubs kunamaDJ ambao wao wakilala wakiamka wanawaza mambo ya hivyo.......natoka kidogo
 
Mzee Samwel Sitta akisema vijana tunapenda FIESTA tunasema katutusi, haya huyu mwenzetu kweupeeeeeeeee anajidhihirisha. bro/sis nenda kazini huu sio muda wa mambo yakipuuzi utailetea baa la njaa bure familia yako huko mbeleni kwa kutokujiandaa sasa. ukitaka kujua hayo nenda Clubs kunamaDJ ambao wao wakilala wakiamka wanawaza mambo ya hivyo.......natoka kidogo
Acha aushamba wa kuja wewe!...Unatoka wapi aisee?...Hapa ndiyo mwisho wa akili zako?
Kwanza humjui!
Hujui anaposikiliza music huwa anafanya kazi gani!
Hujui mambo yake, mwanaume mwanamke, mwanafunzi,mkulima. mwanamuziki...hujui kitu unaropoka tu!
Unataka akafanye kazi gani!...Wewe unafanya kazi gani, si kazi yako unasoma thread za watu na kujibu crap?
Hopeless, Mbuzi -kavimba, billions of blue blistering banacles!
Acha urembo chalii-wangu, hili jukwaa la entertainment arifu eeh!

Join Date : 13th July 2011
Posts : 41

Rep Power : 0
 
Mzee Samwel Sitta akisema vijana tunapenda FIESTA tunasema katutusi, haya huyu mwenzetu kweupeeeeeeeee anajidhihirisha. bro/sis nenda kazini huu sio muda wa mambo yakipuuzi utailetea baa la njaa bure familia yako huko mbeleni kwa kutokujiandaa sasa. ukitaka kujua hayo nenda Clubs kunamaDJ ambao wao wakilala wakiamka wanawaza mambo ya hivyo.......natoka kidogo

Duuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!

Kwa jinsi ulivyo makini utakuwa emefanya maajabu katika kujikomboa na kuikomboa bongo yetu!!

Tuwekee thread basi utujuvye sisi tulio malegelege wa kufikiria!!

Acha aushamba wa kuja wewe!...Unatoka wapi aisee?...Hapa ndiyo mwisho wa akili zako?
Kwanza humjui!
Hujui anaposikiliza music huwa anafanya kazi gani!
Hujui mambo yake, mwanaume mwanamke, mwanafunzi,mkulima. mwanamuziki...hujui kitu unaropoka tu!
Unataka akafanye kazi gani!...Wewe unafanya kazi gani, si kazi yako unasoma thread za watu na kujibu crap?
Hopeless, Mbuzi -kavimba, billions of blue blistering banacles!
Acha urembo chalii-wangu, hili jukwaa la entertainment arifu eeh!

Join Date : 13th July 2011
Posts : 41

Rep Power : 0

Mhhhhhh.......JF haiishi vituko,

Tutafika lakini!
 
Acha aushamba wa kuja wewe!...Unatoka wapi aisee?...Hapa ndiyo mwisho wa akili zako?
Kwanza humjui!
Hujui anaposikiliza music huwa anafanya kazi gani!
Hujui mambo yake, mwanaume mwanamke, mwanafunzi,mkulima. mwanamuziki...hujui kitu unaropoka tu!
Unataka akafanye kazi gani!...Wewe unafanya kazi gani, si kazi yako unasoma thread za watu na kujibu crap?
Hopeless, Mbuzi -kavimba, billions of blue blistering banacles!
Acha urembo chalii-wangu, hili jukwaa la entertainment arifu eeh!

Join Date : 13th July 2011
Posts : 41

Rep Power : 0

asante sana kwa kunisaidia kujibu.....maana nilivyokuwa nakuja nilikuwa nichezee kichapo cha PAW......thread ipo jukwaa la burudani yeye sijui anataka tufanyaje.....vichaa nchi hii wanazidi kuongezeka sijui tutafika nao wapi.......

Nirudi kwenye topic....PJ umeusikia huo mpini?....ni mkali kiaina....ila wadau wamenichunia kuuweka......
 
Mzee Samwel Sitta akisema vijana tunapenda FIESTA tunasema katutusi, haya huyu mwenzetu kweupeeeeeeeee anajidhihirisha. bro/sis nenda kazini huu sio muda wa mambo yakipuuzi utailetea baa la njaa bure familia yako huko mbeleni kwa kutokujiandaa sasa. ukitaka kujua hayo nenda Clubs kunamaDJ ambao wao wakilala wakiamka wanawaza mambo ya hivyo.......natoka kidogo
Kila mtu ana burudani zake jamani,kama anapenda hivyo poa tu,wengine wanakesha Corner Bar etc etc.
 


ni hivyo tu....thanks
 
Last edited by a moderator:
Kumbe unasikilizaga Clouds eeh? Safi sana..endelea hivyo hivyo.

Halafu yale malalamiko dhidi ya Kibonde vipi? Si ulisema TCRA yashapelekwa....kuna maendeleo yoyote?
 
Kumbe unasikilizaga Clouds eeh? Safi sana..endelea hivyo hivyo.

Halafu yale malalamiko dhidi ya Kibonde vipi? Si ulisema TCRA yashapelekwa....kuna maendeleo yoyote?

he he he....sijawahi acha kusikiliza Clouds....na sitegemei kuacha....ni siku ile tu Kibonde aliniboa.....hii ndio TZ bana....usitegemee mrejesho wa kitu chochote kutoka serikalini......
Umeupenda mziki lakini?...
 
he he he....sijawahi acha kusikiliza Clouds....na sitegemei kuacha....ni siku ile tu Kibonde aliniboa.....hii ndio TZ bana....usitegemee mrejesho wa kitu chochote kutoka serikalini......
Umeupenda mziki lakini?...

Mi nimependa avatar yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom