Daimond Plantnumz in the FNL soon stay tuned

Daimond Plantnumz in the FNL soon stay tuned

Paula kilaki

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
1,909
Reaction score
1,290
Haya haya haya haya wale wote tunaomzimikia huyu kijana, tusioweza kula kunywa wala kulala bila kumuongelea huyu KICHWA wa bongo fleva njooni sasaaaa@miss strong, nifah, matola, geniveros diva beyonce msilale plzzzzzz!! chukueni soda hapo kwa mangi bili kwa tajiri.
 
Wema aangalie pia jamani ndomo anavyomuangalia huyo mdada???
 
mmeskia maneno ya busara hayooo, maneno kuntu, Dinazarde njoo huku shoo
 
Last edited by a moderator:
jamani sasa mbona sam nae kamtoa mapema, me bado nilitaka kumwangalia
 
Huyo dada kavalishwa au kavaa nguo za mdogo wake,
Au mambo ya fashooooniiii
 
Back
Top Bottom