maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,422
- 957
Usione kimya sana leo ni kwamba diamond kapigwa chini kwenye best african act ya Europe music award(Ema) wameshinda sauti sol ambao sasa watashindana na jamaa wa asia hapo tarehe 9 november huko glasgow , scotland All the best, wazee wa sura yako muzuuri maaaamaaaaa