el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,072
Wale wasanii wakali waliobamba kwenye coke studio watakuwpo leo kwenye viwanja vya Coco beach kuzikonga nyoyo za wapenda Burudani...
Wasanii hao ni pamoja n Dimond, Vanessa mdee, Shaa na Mwamba wa Kaskazini..
MY take....
Tokea shoo ya pale leaders Dimond ameperfom kama Shoo 4 ndani ya wiki 1 na nusu...kama ujuavyo Dimond hapandi stejini bila mtonyo wa 10000K na zaidi, hivyo wewe uliyezomea jiulize yule msanii wenu mpendwa amemake bei gani tokea Mumshangilie!!???..
Inasikitishaa sana mtu ambaye inasemekana ana mashabiki wengi na yeye anajiita mkongwe katika Game aishi kwa huruma za Fiesta na kudra za Ruge mutahaba.. swali la kujiuliza baada ya msimu huu wa Fiesta hataperfom mpka msimu ujao wa Fiesta!!???🙄🙄🙄🙄..
All n all usikose shoo kali pale Coco beach kutoka kwa Joh makini, Dimond, shaa na V money.....
Wasanii hao ni pamoja n Dimond, Vanessa mdee, Shaa na Mwamba wa Kaskazini..
MY take....
Tokea shoo ya pale leaders Dimond ameperfom kama Shoo 4 ndani ya wiki 1 na nusu...kama ujuavyo Dimond hapandi stejini bila mtonyo wa 10000K na zaidi, hivyo wewe uliyezomea jiulize yule msanii wenu mpendwa amemake bei gani tokea Mumshangilie!!???..
Inasikitishaa sana mtu ambaye inasemekana ana mashabiki wengi na yeye anajiita mkongwe katika Game aishi kwa huruma za Fiesta na kudra za Ruge mutahaba.. swali la kujiuliza baada ya msimu huu wa Fiesta hataperfom mpka msimu ujao wa Fiesta!!???🙄🙄🙄🙄..
All n all usikose shoo kali pale Coco beach kutoka kwa Joh makini, Dimond, shaa na V money.....