Ni wangapi wanacheki hii kitu?
Nipeni story inavyokwenda.
i just come to it accidentally...
na kugundua most members of my family wanaifuatilia..
naamini Heaven on Earth miss neddy...
Wale wasanii wakali waliobamba kwenye coke studio watakuwpo leo kwenye viwanja vya Coco beach kuzikonga nyoyo za wapenda Burudani...
Wasanii hao ni pamoja n Dimond, Vanessa mdee, Shaa na Mwamba...
Usione kimya sana leo ni kwamba diamond kapigwa chini kwenye best african act ya Europe music award(Ema) wameshinda sauti sol ambao sasa watashindana na jamaa wa asia hapo tarehe 9 november huko...
Wadau hua nafuatilia hii filamu ya kichina inayo tafsriwa kiswahili. Hakika ina burudisha na kuelemisha.
Ila Bado silijui jina lake!
Mawazo yenu wanadau!
Inaitwa Jin Tai Lang.
Mzee Jin...
Msanii Diamond afunika kwenye fiesta ya Kigoma pamoja na kutokuwepo,ulipigwa wimbo wake shangwe alizopokea zilikuwa balaa wanakigoma hawana ajizi.
Kwa upande wa Kiba naye alifanya vizuri japo...
Hizii ni Top 7 Za wiki zinazo BANG kwenye radio now
Dully Sykes ft Lamar - Togola REFIX
Heri Muziki - Nchi Yetu Muziki Wetu
Mrap ft Ben Paul - Nikubembeleze
Ace Hood ft Rich Homie Quan - We...
Wana-Jamiiforums,
Nilijitolea tangu siku ya Fiesta kuhesabu clouds watapiga mara ngapi nyimbo za Diamond vs za Kiba, mpaka sasa sijasikia wala kuona za Diamond, kwa sasa nipo likizo na niliamua...
Saturday, October 25, 2014 Tujuane to go regional Popular TV dating reality series Tujuane is spreading its wings. Host Malonza Chege has been to Kampala, Uganda, and Dar es Salaam...
Ali Kiba 97%
Mwana Fa 94%
Weusi 91%
Mr blue & B.O.B 83%
Stamina 71%
Diamond Platnumz 65%
Ommy Diampoz 62%
madee &Tip Top 58%
Young Killer 50%
Yamoto band 47%
Chege &Temba 42%...
Dear Ali Kiba 4real kuwa makini na hawa watu wanaofurahia kuzomewa kwa Diamond.Hawa watu wanaomchukia Diamond leo ni hawa hawa watakuchukia siku ukifika level za Diamond.Kwa zawadi ya sauti ya...
Wale wasanii bora kabisa waliofunika Jana ,fa na kiba wanakuja kuchafua anga la burudani tena next week .
Wimbo umetengenezwa na Dr Marco chali
Verse ni za fa na chorus ni ya best vocalist of...
wakuu have watched movies like, notebook,when harry met sally, keith, love jones and P.S i love you...the truth is these movies are good and heartbreaking. if you cant controll your tears, u may...
Jamani, Kiswahili kinachanja mbuga kimataifa, na ni jukumu letu kukifikisha mbali zaidi. Hawa ni wanafunzi wa Kiswahili waliosoma kwa wiki takribani sita katika chuo Kikuu cha Florida, nchini...
Hasheem Thabeet Aondolewa Pistons:
nyota wa kikapu ndani ya NBA mTanzania ametemwa na timu yake mpya Detroit Pistons kutoka jimboni Michigan aliyojiunga nayo siku kadhaa zilizopita.......
MTIFUANO
Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 limepita lakini nyuma yake limeacha vita nzito iliyowahusisha mafahari wawili, Nasibu Abdul ' Diamond ' na Ali Kiba huku waandaaji wa tamasha hilo...