Nani mkali Ya Moto Band?

Nani mkali Ya Moto Band?

Jospina

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
2,421
Reaction score
1,395
Tumalize ubishi!!

Nani Anauwezo wa kuimba zaidi ya wenzake!! Mimi naanza na MAROMBOSO.
 

Attachments

  • ya moto band.jpg
    ya moto band.jpg
    41.3 KB · Views: 982
Ni ngumu kuwapambanisha watu wanao imba level tofauti katika uimbaji! Ni ngumu kumjua mkali hapo!

Maromboso anaimba sauti ya nne na muda mwingine huimba ya tatu!
Aslay anaimba Sauti ya kwanza ya kiume!
Kuna Mwingine hapo anaimba sauti ya kwanza ya kike

Kuna mwingine anaimba sauti ya pili!

Hao madogo Fella anawapatia jinsi ya kuwapanga kila nyimbo kiasi kwamba kila anayekuja unaweza kudhani Fulani ni mkali kizidi mwenzie na kila anaye imba anaimba vyema!
 
siwajui majina ila nashindwaga kuelewa nani mkali zaid maana kila mmoja ni mkali kwa style anayoimba yeye.
So nimeshindwa kuwa judge mzuri hapo
 
ukianza na yule mwenye saut nzto n shdaah,ukja kwa aslay n matatzo,akfata yule mwnye saut nyembamba n hataree na akmalza na maromboso n m bayaa.duh hapo nashndwa hata kutoa koments kuhusu hawa madogo coz wote wanajua
 
Enock Bella ni hatari sana

"Mtu kunywa kunywa milenda sio ufala ila kupenda"
 
Enock Bella ni hatari sana

"Mtu kunywa kunywa milenda sio ufala ila kupenda"

Naungana na wewe kabisa Huyu Bella ni nuksi

kwanza anajua kulinga haogopi kamera live pia yupo njema hana uwoga
nimesikia kuna bendi kubwa zinamfukuzia

alle baba huyo katoka kazini na zawadi mkononi kaleta na ungo

alle baba umerudi nipe soda nikalingishe huko nje....

Aibu naona mimi nakwambia
 
Naungana na wewe kabisa Huyu Bella ni nuksi

kwanza anajua kulinga haogopi kamera live pia yupo njema hana uwoga
nimesikia kuna bendi kubwa zinamfukuzia

alle baba huyo katoka kazini na zawadi mkononi kaleta na ungo

alle baba umerudi nipe soda nikalingishe huko nje....

Aibu naona mimi nakwambia

Aisee mkuu nlikua sijui jina lake.. jamaa analisauti flani hivi na mbwembwe za kiume
 
yule mwenye sauti nyembamba na vocali tamu kama za kikongo ni shida,simfahamu jina.fella asiwabanie, awape uhuru jamii iwafahamu wote na iwazoee,sio kila siku aslay na maromboso.ila kiukweli madogo wote ni wakali.
yamoto band ndio habari ya mujini kwa sasa,tupe band kule za wakongoman waliopo tz.
 
Ni ngumu sana ila kama ni lazima nichague la sivyo nafa, basi nitachagua yule aliyeimba wa pili baada ya aslay kwenye wimbo wa ya moto. Jina simjui. Ila ni ngumu sana kuchagua, sababu madogo wanaimba, na kila mtu anaimba staili yake ya kipekee.
 
Ukitaka kujua Enock Ni Hatari kuliko Wale kina
Asley' Maromboso na Becka

tafuta wimbo wao(hauja toka rasmi ila YouTube upo)

unaitwa

"Bora Kijijini" au Juma"


humu ndani utagundua Enno jinsi alivyo mtu m baya.

na chorus ya uwo wimbo kaimba yeye alafu Asley kaikolezea mbwembwe.

wimbo una meseji nzuri sana. hasa kwa wale ndugu zangu ambao wanadhani maisha yapo DAR ES SALAAM tu.
kumbe kule wanapotoka ndo kuna maisha.

kuna haka ka kipande aliko imba Enock

"Niligunduaa Sina Sababu ya kuishi Dar

Uchomwe Juaa Ule adhabu Upate ka-raha.

Niliambiwaa Dar Kuzuri Kuna Mataa.

Usilojuaa Usiku wa Giza
Mjomba Juma.

ahaaaaa
baada ya hapo anashuka to the Low key then anasema(kwa sauti tamu)

"Better Life kijiji
kuna mashamba Lima uta Wini'

usitamani tamani mjini Jumaa.ayaayaa ya ¡Á2

ahaaaa alafu Anapanda Tena to the highly Key.

"Kuwa na Moyo maisha kokote Juma.
Epuka Tamaa '
Riziki Popoote Juma aa
iyeee iyee iyeeee.

chorus yake
Enock kaimba ivi

" Rizika na kidogo
usiwe na Tamaa

hata km vichacheee' hamna noma ¡Á2

afu aslay anadakia hapo
"Silaa Pesa mjini
bila ya pesa huishi

silaa ya pesa mjini ataufanye ubishi.


Enock ni nomaaaa
 
Ukitaka kujua Enock Ni Hatari kuliko Wale kina
Asley' Maromboso na Becka

tafuta wimbo wao(hauja toka rasmi ila YouTube upo)

unaitwa

"Bora Kijijini" au Juma"


humu ndani utagundua Enno jinsi alivyo mtu m baya.

na chorus ya uwo wimbo kaimba yeye alafu Asley kaikolezea mbwembwe.

wimbo una meseji nzuri sana. hasa kwa wale ndugu zangu ambao wanadhani maisha yapo DAR ES SALAAM tu.
kumbe kule wanapotoka ndo kuna maisha.

kuna haka ka kipande aliko imba Enock

"Niligunduaa Sina Sababu ya kuishi Dar

Uchomwe Juaa Ule adhabu Upate ka-raha.

Niliambiwaa Dar Kuzuri Kuna Mataa.

Usilojuaa Usiku wa Giza
Mjomba Juma.

ahaaaaa
baada ya hapo anashuka to the Low key then anasema(kwa sauti tamu)

"Better Life kijiji
kuna mashamba Lima uta Wini'

usitamani tamani mjini Jumaa.ayaayaa ya ¡Á2

ahaaaa alafu Anapanda Tena to the highly Key.

"Kuwa na Moyo maisha kokote Juma.
Epuka Tamaa '
Riziki Popoote Juma aa
iyeee iyee iyeeee.

chorus yake
Enock kaimba ivi

" Rizika na kidogo
usiwe na Tamaa

hata km vichacheee' hamna noma ¡Á2

afu aslay anadakia hapo
"Silaa Pesa mjini
bila ya pesa huishi

silaa ya pesa mjini ataufanye ubishi.


Enock ni nomaaaa

Nakuunga mkono. Huyu dogo balaa. Ila kwa ujumla, hii bendi ni nuksi. Nawaombea wadumu wasije ingia kwenye yale matatizo yanayozikumba bendi. Madogo wanapiga mziki safi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom