Yamoto band beibe;
Leo jamani nataka niwaongelee hawa madogo, big up mkubwa fella. Nimetoka kusikiliza nyimbo zao hapa naweza sema hivi, hawa ni tishio jipya kwa tasnia ya mziki Tanzania. Kwanza wanaimba live kitu ambacho wasaniii wenu wanakiogopa, Pili they are still hungry and ready to get it.
Haya wasanii wengi akiwemo Diamond wanaogopa kufanya mziki live, na ni kitu ambacho kimuziki kinaleta utata kidogo.
Leo jamani nataka niwaongelee hawa madogo, big up mkubwa fella. Nimetoka kusikiliza nyimbo zao hapa naweza sema hivi, hawa ni tishio jipya kwa tasnia ya mziki Tanzania. Kwanza wanaimba live kitu ambacho wasaniii wenu wanakiogopa, Pili they are still hungry and ready to get it.
Haya wasanii wengi akiwemo Diamond wanaogopa kufanya mziki live, na ni kitu ambacho kimuziki kinaleta utata kidogo.