Ngoma zangu kali nikiwa club

Ngoma zangu kali nikiwa club

yutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
1,778
Reaction score
1,226
1.move bitch - Ludacris, mistycal an 20
2.all of above - Maino f. T Pain
3.in da club - 50 cent
4.make it clap - busta rymes f. Flip mob squad
5.back up - been man
6.fiesta-R.kelly
7.back and forth - Aaliah
8.hakuna kulala -J nature
9.kuch kuch hol tae-
10.number 1 remix - Diamond f. Davido

hiyo mikito huwa naikubali sana nikiwa club hata kama sina mudy ya kucheza ikipigwa moja wapo kati ya hizo lazima nicheze na hasa umkute dj mzuri anaejua kucheza na nurmack kama ni w/end inakuwa baridaah
kabisa

W/end hii utakuwa wapi?
Kiwanja gani kizuri kwa kubang hapo ulipo? Dj wako mkali na track gani zinakubamba ukiwa club?

TUJUZANE
 
1.move bitch - Ludacris, mistycal an 20
2.all of above - Maino f. T Pain
3.in da club - 50 cent
4.make it clap - busta rymes f. Flip mob squad
5.back up - been man
6.fiesta-R.kelly
7.back and forth - Aaliah
8.hakuna kulala -J nature
9.kuch kuch hol tae-
10.number 1 remix - Diamond f. Davido

hiyo mikito huwa naikubali sana nikiwa club hata kama sina mudy ya kucheza ikipigwa moja wapo kati ya hizo lazima nicheze na hasa umkute dj mzuri anaejua kucheza na nurmack kama ni w/end inakuwa baridaah
kabisa

W/end hii utakuwa wapi?
Kiwanja gani kizuri kwa kubang hapo ulipo? Dj wako mkali na track gani zinakubamba ukiwa club?

TUJUZANE

Umekuja vizuri ila kwenye red umenifanya hata nisiende club 71 kesho! hivi kwenye blue huyo mwanamziki bado yupo hai?
 
!
!
1. Wifey and too close by Next
2. So sick of being lonely by field mob
3. Where is the love by bep
4. What you got oh no by timberlake
5. What is love
5. Muchana by Kanda bongo man.
6. Do for love by tupac
7. Niko bize by Jafarai
8. Kama unataka demu Jay Mo
9. Get your freak on by Missy Eliot
10. Tick Tack by the lords of underground
 
Umekuja vizuri ila kwenye red umenifanya hata nisiende club 71 kesho! hivi kwenye blue huyo mwanamziki bado yupo hai?

Kama hayupo hai muziki wake nao unapoteza uhai?
 
Umekuja vizuri ila kwenye red umenifanya hata nisiende club 71 kesho! hivi kwenye blue huyo mwanamziki bado yupo hai?

mkuu Jambazi nadhani kwenye blue umeelewa tu jina laiti ungekua unafaham na ji songi lenyewe ungekubaliana na mleta mada kua ngoma inakimbiza adi leo japokua Aaliah amefariki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom