Kuna anayepata tatizo hili AZAM TV?

Kuna anayepata tatizo hili AZAM TV?

Huntsman

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
648
Reaction score
621
Heshima mbele wakuu,

Jana nimelipia tsh 20000 Azam tv ili niweze kuona channels zote ikiwemo VIASAT NATURE/HISTORY Channel lakin cha ajabu naambiwa access denied kwa baadhi ya channel ikiwemo hii. Kuna anayeipata hii channel?
 

Attachments

  • 1426235171163.jpg
    1426235171163.jpg
    52.7 KB · Views: 188
Kama kuna mwenye namba za huduma kwa wateja anisaidie niwaulize
 
Mkuu nenda kwenye sport au habari mchanganyiko kule utapata msaada huku nadra sana watu kuperuzi
 
CUSTOMER SERVICES
(+255) 0764 700 222
(+255) 022 550 8080
(+255) 078 410 8000

Huntsman Nahisi tatizo ni package, wapigie wakubadilishe
 
Asanteni wakuu tatizo limerekebishwa
 
Heshima mbele wakuu,

Jana nimelipia tsh 20000 Azam tv ili niweze kuona channels zote ikiwemo VIASAT NATURE/HISTORY Channel lakin cha ajabu naambiwa access denied kwa baadhi ya channel ikiwemo hii. Kuna anayeipata hii channel?

Tunaotegemea Polarization Inter search Ngoja Tukae Pembeni au Tupite Tu.
 
Back
Top Bottom