Huu Wimbo Unaitwaje ?

Huu Wimbo Unaitwaje ?

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,319
Wadau nilikuwa namsikiliza John Dillinga DJ JD aliupiga huu wimbo ametaja na jina something kama AIMEX 123 sasa nimejaribu kusearch online sipati kitu kinachofanana na hiko,pengine labda hilo jina siyo,JF kuna wajuzi wengi kama unaujua huo wimbo nitajie ni kundi gani lililoimba.

Thanks in Advance.
 

Attachments

Wadau hakuna anayeujua huo wimbo?
 
Wadau nilikuwa namsikiliza John Dillinga DJ JD aliupiga huu wimbo ametaja na jina something kama AIMEX 123 sasa nimejaribu kusearch online sipati kitu kinachofanana na hiko,pengine labda hilo jina siyo,JF kuna wajuzi wengi kama unaujua huo wimbo nitajie ni kundi gani lililoimba.

Thanks in Advance.

Mkuu Amalinze, hao wanaitwa Amyth na hiyo track inaitwa 123.

Throw back naipenda sana hiyo.
 
Mkuu Amalinze, hao wanaitwa Amyth na hiyo track inaitwa 123.

Throw back naipenda sana hiyo.

Unanikumbusha mbali sana ndugu.Hili jina la Amyth linafanana sana na instrumentalist anayeitwa AMETHYSTIUM,huyu jamaa kwenye mambo ya ambient ni balaa.Wimbo wake mmojawapo ni EXULTATION nyingine ni ARCANE VOICES na nyingine kibao
 
Amyth ilikuwa ni crew ya watu 4 wanaimba R&B, Jelani, Wayne, Labo na Steve Joyce.

1999 ndio wali hit na hiyo single 123.
 
Mkuu Amalinze, hao wanaitwa Amyth na hiyo track inaitwa 123.

Throw back naipenda sana hiyo.

Amyth ilikuwa ni crew ya watu 4 wanaimba R&B, Jelani, Wayne, Labo na Steve Joyce.

1999 ndio wali hit na hiyo single 123.

Mkuu Shukrani sana,nilikuwa nautafuta sana ila jina nilikuwa silijui ila DJ JD anaupiga sana tangia enzi za The Heat Radion one na The Crewz,Much Respect Mkuu.

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom