Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Yaaap! samahani lakini! Bila shaka tunaenda sawa. Laiti kama ningelikuwa Ally Kiba, ningefanya yafuatayo; - Ningeua nyani huku namuangalia usoni. Yaani ningevunja vunja uongozi wangu wote na...
1 Reactions
70 Replies
6K Views
Jamani jana si ndo zanzibar wanjera Concert ..cha kushangaza hakuna anayetoa yaliojiri vipi ilikuwaje na mashauzi ya Mr vishimo mpaka sasa hivi IG kimya naye mama Wanjera kimya wars going on
2 Reactions
84 Replies
9K Views
Wakati 'Nasema nawe' bado gumzo, Chibu kadondosha hit la maana 'Nana'. Na sasa kuna track jipya lime leak, pata wasaa umsikilize dogo, ni noooma aisee..
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasanii wetu wanafanya kazi kubwa sana.... hii nadhani imetokana na kufanya mziki km kazi zingine tu... Playlist yangu bongo fleva ina asilimia kubwa sana compare to other music.... Km huna hizi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habar wakuu! Ni mwezi huu June ambapo Mfalme ataenda kubeba tuzo zake 7 za KTMA Ni mwezi june ambapo Video ya chekecha itakapokwenda kutoka ambapo inategemewa kwenda kuvunja record ya video...
3 Reactions
74 Replies
6K Views
Wapenzi wa burudani mnaonaje kuhusu aina ya nyimbo na maudhui wanayoimba hawa wasanii.Ni yupi unamkubali zaidi,unafikiri wangekuwa watunzi wa stori za maisha wangefanya vizuri zaidi...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
A talent is jus a talent no matter how many criticism and hate but the guy is still doing some good work. Kazi nzuri sana hongera Diamond hongera Iyanya. Watch "Iyanya x Diamond - Nakupenda...
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Leo nimeamua nimwagike kuwahusu Bongo movie, wanaofanya hii shughuli hasa kampuni zilizoshika soko. Sitaki kuamini yasemwayo kuwa wengi wenu hamkwenda shule na hii kazi mnaifanya kiujanja...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Sipati picha kama huu wimbo wa shikorobo angeuimba diamond nahisi ungekua wimbo wa taifa maana kwa hadhi ya shetta na hadhi ya wimbo ulipotakiwa kufika bado sana maana wimbo ni mkali sanaaa
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kabla sijamwagika, ieleweke tu kuwa mimi nipo kwenye hii industry pia, na ninakaribisha walio kwenye hii game wachallenge hoja, simaanishi mashabiki au wasikilizaji wa muziki, bali producers na...
2 Reactions
65 Replies
17K Views
okey!!... kwa wale walio iona movie ya escape from sobibo, hv ile ni story ya kweli? maana! tukumbushane basi baadhi ya matukio amaizing kama ya wale wafungwa kuruka juu ya senyenge na kutokea...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi ni kwanini muziki wa Jazz wenye asili yake huko nchini Marekani sio maarufu hapa nchini Tanzania? Miziki ya aina nyingi kutoka nchini Marekani ni maarufu sana hapa kwetu kama vile Reggae, Hip...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
For a parent, few things are as wonderful as watching the children enjoy day after day of fun in the backyard. It's a place where toddler involve with fun games. Trampolines are a great source of...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Iyanya kaachia video:I check Source:Bongo5
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iyanya kaachia video:I check
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Hivi Millard Ayo kashasepaga Clouds au? Maana namsikia Musa siku ya 3 hii Amplifaya! Leo nilichelewa kidooogo Kutune Amplifire Clouds Fm ila Nmekuta Baba ashibae Musa hussain Yupo Kwa Kiti cha...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Ommy kiki hizi huziwezi. It was good just a week ago. Haya the minute ukaanza ubaba na umama Wanjera ndo mambo yakawa mabaya. Sio kila mtu nyota yake iko kwa wanawake. Mwenzio Mondi huwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo nimeamua nimwagike kuwahusu Bongo movie, wanaofanya hii shughuli hasa kampuni zilizoshika soko. Sitaki kuamini yasemwayo kuwa wengi wenu hamkwenda shule na hii kazi mnaifanya kiujanja ujanja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau!! tutiririke na mangoma ya hip 2 hiphop duniani tuongeze siku!. tujuzane, tuskilize tujifunze Pia.. tuanze: *forever young_ jay z *home boys_ the game *am a boss_rick rosee *i see...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…