Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Sikiliza nyimbo ya ACT inayofafanua vizuri malengo ya ACT. ACT inandelea kukua na kuchapa kazi. Muda ni huu wa kujiunga na chama kinachoipigania Tanzania bora...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Nawaza tu joh makin kushindwa kupata tuzo ya wimbo bora wa hip hop.sasa huo utunzi bora kawazidije wenzake huku wao ndio wana nyimbo bora?
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Hawa EATV wana matatizo gani? Inakuwaje watangazaji wake wazuri na MaDJ zake wazuri wote wanakuwa poached na Kampuni nyingine..? Kaondoka Adrian Kaondoka Mafuvu Leo kaondoka DJ D Ommy
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ile collabo mpya ya muimbaji wa Afrika Kusini, Donald na Diamond Platnumz ni mradi ambao Donald anauchukulia kwa uzito mkubwa, kiasi ambacho hajataka kuchelewesha sana mambo. Baada ya kuingia...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Je,wewe ni kijana mwenye kipaji cha sauti?Je sauti yako inaweza kutumika kurekodi matangazo ya redio?Kama jibu ni ndio,basi jiandikishe nasi leo ili ushiriki usaili wa sauti kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
903 Views
Wakirudiana itakuwa poa zaidi, couple yao inawapendeza zaidi. Rihanna & Chris Brown Love: Only Man She Totally Connected With - Hollywood Life
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kijana wangu anapenda sana music hasa wa gospel, tayari ameweza kuwa na nyimbo zake ambazo zinavutia, Sasa anatafuta promoter. Nisaidieni Natanguliza shukrani kwa niaba yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, Ben Pol can sing. Yani anasisimua sana na kipaji chake. Aliwahi kusema kati ya simu kumi anazopokea, nane ni za kuombwa kupiga chorus. Hao watu wanaona anavyoimba vizuri ndo maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nani Ana Wimbo Wa At Ft Alikiba Jina La Wimbo Usikomae Nae Anisaidie Kupata
0 Reactions
2 Replies
4K Views
mangi umeua! eti ndorobo!
5 Reactions
67 Replies
16K Views
Toka ajiite mwamba wa kaskazini, toka aseme hayupo next level Bali level yake mwenyewe....Joh Makini amekuwa akipanda siku baada ya Siku. Na siri kubwa ninayo iona Kwa Hawa weusi ni kwamba...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Jana nilikua mmoja kati ya Watanzania wachache tuliopata mualiko wa kuhudhuria ugawaji wa Tuzo za Kilimanjaro Music Awards. Kwanza niwapongeze Organization nzima ya KTMA wakishirikiana na...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
read the full article here https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/868639-diamond-platnumz-assists-fellow-tanzanian-artists-to-the-next-level.html
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Matokeo ya KTMA Alikiba amechukua tuzo-5 Diamond 2. Mzee Yusuf-3. Vanesa Mdee- 2. Profesa Jay-1. Jose Mara-2. Jux-1. Joh Makini-2. MwanaFA-1. Baraka de Prince-1. Nahreel-1. Kweli Alikiba...
0 Reactions
375 Replies
48K Views
The King Ally Kiba fans' special thread, Tujumuike hapa (11,191) »( ... Last Page) Diamond Platinumz fans' special thread: Njooni tukutane hapa (4,735) »( ... Last Page) hata kwa hili...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Msanii wa stand up comedy wa Uganda ameamua kuhamasisha vijana kujiandikisha kuweza kupiga kura 2016. http://www.youtube.com/watch?v=svczp7WH9V0&sns=em
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu jamaa ni kiboko na ni mbunifu asiye na mpinzani na kanivutia mpaka siku hz nahudhulia kanisani kila juma pili kutokana na ubunifu wake wa kupiga kinanda kwa kutumia tune za za makabila na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Nimeguswa mno na hii hali ya utimu inayoendelea. Nini chimbuko la hizi teams? Nani ni mchochezi kati ya wahusika na mashabiki? Wahusika wamewahi toa tamko lolote kuhusu...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…