Nimejaribu kuziangalia mara kadhaa hizi terminator trilogy kama, terminator, judgment days, rise of machines, salvation na trailer la Genesis(coming soon).
Idea kubwa ktk movie ni time travel na...
Naomba kwanza kwa ngebe.....majigambo....mbwembwe .......heshima......taadhima.......misifa........nyodo ......na ufahari mkubwa kutamka wazi kuwa mimi ni "die hard" and "true fan" wa muziki wa...
Ndugu yenu kiba hana uwezo ila kwakuwa hamkuwa na kazi ya kufanya kupanga matokeo tofauti na yanavyotakiwa kupangwa Ipo siku uwezo wa mond utaonekana wazi tu mana watz walio wengi hawapend...
Instagram hapatoshi, anayejiita ze kingi of all sosho media in Tz anatumia nguvu nyingi sana kupinga matokeo ya ushindi wa tuzo za watu wa King Kiba kwa kutupilia mbali na kudharau taratibu za...
==== Kutohudhuria kwa Lady Jay Dee na Mzee Yusuph ============
Yaani hawa watu wawili wanadharau sana,tena huyu JIDE ndo haswaa kila mwaka siku ya tuzo haji anaagiza watu tu wamchukulie tuzo...
Sitaki kuamini kwamba Tuzo hizi zina upendelea.
Naamini kwamba tuzo zimetokana na jitihada binafsi za washiriki.
Binafsi ningependa kuwapa Pongezi za kutosha kwa viongozi wote wa #TeamKiba .
Ndugu wanaJF,utakubaliana na mim kwamba siku hiz mziki umehama toka kwenye uhalisia na umebaki kuwa mziki wa makundi.Washabiki wa mziki tumekuwa hatuangalii tena ubora au mapungufu ya kaz ya...
Haiingii akilini wimbo uliotoka mwezi Novemba na kutamba miezi miwili,ushindanishwe na wimbo uliotoka mwezi Machi na kutamba miezi kumi ktk mwaka husika.Ndio maana wasanii wapenda tuzo wanatumia...
VERSE 1.
Alikuwa binti mzuri,
Enzi akiishi na babake,
Alipendwa sana,
Coz alimpata kwa shida,
Alipendeza kwa mavazi kila siku ukimuona,
Alivaa black shoes,
Iliyolandana na ngozi yake...
Hii imeandikwa instagram na Le Mutuz aliyepata mtonyo kuwa TBL wameambiwa wakae pembeni. Inabidi usome viambatanyisho hapa kupata habari zaidi
Hii inasikitisha kuwa BASATA wanafanya haya...
Ali Kiba amemfunika Shilole huko USA baada ya show yake kupata watu wasiozidi 30. Msanii huyu mwenye tuzo ya watu ambaye alitangaza kutopiga tena show za playback, lakini show hii aliimba juu ya...
Kuna mambo mengine huwa ni uamuzi tu. Kufanikiwa kwenye jambo lolote lile maishani kunatokana na namna mtu anavyolitazama hilo jambo. Ni suala la kukuza picha tu. Watu wafanye mambo huku wakiwa na...
Habari zenu wadau , Mimi ni kijana mwenye ndoto za kufanya mapinduzi katika sector ya film Tz ,Nina imani kwa script zangu nilizo kuwa nazo na uwezo wangu wa kuigiza nita weza kufanya vitu adimu...
Wakuu poleni na majukumu nina utafuta wimbo mmoja wa marijani rajabu...anapiga sana guitar halaf anasema Huyo humuwezi daktari wake mimi je unaitwaje? nitashukuru sana sana kwa atakayenisaidia...
Huyu mwanamama alitengeneza nyimbo kali sana,
nikicheki picha ya huyu mrembo nakumbuka ngoma hizi zake kali sana
umqombothi, motherland,makoti , im in love with a dj, Sangoma
ipi ilikuwa hot...