Waungwana
Kuna huu wimbo unaitwa "Riziki" ambao umeimbwa kwenye mahadhi ya Taarab. Sina uhakika na aliyeuimba, pengine ni Leila Salum au Latifa Salum.
Mwenye kuujua tafadhali anijulishe. Mke...
hiz ni tv series zilizo chini ya genius chuck lorre, jamaa ana asili ya israel na moja ya vitu vinavyofanya asifike ni hz series, 2 n half men kidogo ilichange baada ya charlie sheen kufukuzwa...
Katika mchezo huu, unapewa dakika 12 kuandika nchi zote katika box, moja baada ya nyingine.
Kila nchi unayoiandika inabadili rangi na kuwa ya kijani katika ramani.
Kuna nchi 196.
Ukimaliza...
Chibu Is A "Very Coward Artist".He Can Never Stand By Himself And Make A Hit-Song Without Backed Up By Nigerian Artists.For That Reason He Has No Legitimacy Of Being Classified As An International...
Wasalaam wana jamvi! Bila shaka sikuu imekuwa njema kwa kila mtu!
Leo kuna tukio kubwa kwenye tasnia ya burudani Africa nalo ni tunzo za MTV zitakazo fanyika Durban leo!
Wanamuziki wa tanzania...
sijaona msanii kama huyu duniani,almost five
years jela lakini anakimbiza industry ya dancehall
vibaya,najua wabongo wengi hawasikilizi dancehall
lakini kama unataka kumjua huyu jamaa ni pm au...
Huwa napenda sana kipindi cha Sports Bar cha Clouds. Naona wanaongea sana kuhusu Ndondo Cup. Sasa jana walikuwa timu ya Kauzu yule jamaa ana uwezo kweli wa kumobilize watu ila ile lugha bana...
Super Star Salman Khan known for his macho actions roles makes complete change over in 'Bajrangi Bhaijan ' directed by Kabir Khan. Film revolve around a lost girl child from Pakistan in India and...
50 Cent can no longer afford to take you to the candy shop. The "Disco Inferno" rapper, 40, appeared in court in Manhattan on Tuesday, July 22, to discuss his finances as he faces a $5 million...
kuna wimbo niliusikia leo Asubuhi kwenye Leo tena ya cloudsfm ..
umeimbwa na Nuruel na wasaani wengine mchanganyiko...jina siufahamu ila kiitikio ilikuwa...
🎵neeendaaaa ...mwambie...
Nimekuwa nikijiuliza nani mshauri wa mwanamuziki Lady Jaydee? hiki kipindi chake cha diary ya lady jaydee kina faida gani kwa masikini wa tanzania? hivi kutuonyesha anavyopaka lipstick midomo yake...
Hivi kweli unaweza linganisha Muziki Munene wa Tid na huyu m'bana pua Hemed Phd? Huyu labda Kwa sura yake ya kiarabu na kujipodoa ila kamwe hawezi kumfikia!
Acha ndoto za kumfunika king Khalled...
Habari wanajukwaa..
Hii filam aisee naipenda saana, na hua hianiishii hamu kuitazama muvee hii,
Miss Masombuka ananikumbusha kipindi nasoma history ya south africa pale UDSM mwaka wa pili
This...
Waungwana naomba anayekumbuka jina la movie hii anikumbushe niitafute. Niliwahi kuiona zamani na ningeipenda kuitafuta ili niipakue kwenye Internet. Baba mmoja baada ya kutalikiana na mkewe, mkewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.