Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Waungwana Kuna huu wimbo unaitwa "Riziki" ambao umeimbwa kwenye mahadhi ya Taarab. Sina uhakika na aliyeuimba, pengine ni Leila Salum au Latifa Salum. Mwenye kuujua tafadhali anijulishe. Mke...
0 Reactions
16 Replies
17K Views
hiz ni tv series zilizo chini ya genius chuck lorre, jamaa ana asili ya israel na moja ya vitu vinavyofanya asifike ni hz series, 2 n half men kidogo ilichange baada ya charlie sheen kufukuzwa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Katika mchezo huu, unapewa dakika 12 kuandika nchi zote katika box, moja baada ya nyingine. Kila nchi unayoiandika inabadili rangi na kuwa ya kijani katika ramani. Kuna nchi 196. Ukimaliza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chibu Is A "Very Coward Artist".He Can Never Stand By Himself And Make A Hit-Song Without Backed Up By Nigerian Artists.For That Reason He Has No Legitimacy Of Being Classified As An International...
7 Reactions
296 Replies
19K Views
Nimejikuta nausikia huu wimbo kichwani kwangu siku ya leo.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuwa wa kwanza kupata habari kutoka kwa watumaarufu uwapendao. Tembelea Oneclick Tanzania Online Media
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi! Bila shaka sikuu imekuwa njema kwa kila mtu! Leo kuna tukio kubwa kwenye tasnia ya burudani Africa nalo ni tunzo za MTV zitakazo fanyika Durban leo! Wanamuziki wa tanzania...
21 Reactions
1K Replies
97K Views
sijaona msanii kama huyu duniani,almost five years jela lakini anakimbiza industry ya dancehall vibaya,najua wabongo wengi hawasikilizi dancehall lakini kama unataka kumjua huyu jamaa ni pm au...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Huwa napenda sana kipindi cha Sports Bar cha Clouds. Naona wanaongea sana kuhusu Ndondo Cup. Sasa jana walikuwa timu ya Kauzu yule jamaa ana uwezo kweli wa kumobilize watu ila ile lugha bana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
sijui mwezi mtukufu ngoja tuone ....fuatana nami
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Super Star Salman Khan known for his macho actions roles makes complete change over in 'Bajrangi Bhaijan ' directed by Kabir Khan. Film revolve around a lost girl child from Pakistan in India and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
50 Cent can no longer afford to take you to the candy shop. The "Disco Inferno" rapper, 40, appeared in court in Manhattan on Tuesday, July 22, to discuss his finances as he faces a $5 million...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna wimbo niliusikia leo Asubuhi kwenye Leo tena ya cloudsfm .. umeimbwa na Nuruel na wasaani wengine mchanganyiko...jina siufahamu ila kiitikio ilikuwa... 🎵neeendaaaa ...mwambie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
SYLI CLASSIC: Shilole & Nuhu Mziwanda - Ganda La Ndizi (Download New Hit Song)
0 Reactions
4 Replies
9K Views
SYLI CLASSIC: Ali kiba - School Baby {DEMO} New Audio
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Nimekuwa nikijiuliza nani mshauri wa mwanamuziki Lady Jaydee? hiki kipindi chake cha diary ya lady jaydee kina faida gani kwa masikini wa tanzania? hivi kutuonyesha anavyopaka lipstick midomo yake...
1 Reactions
47 Replies
5K Views
Hivi kweli unaweza linganisha Muziki Munene wa Tid na huyu m'bana pua Hemed Phd? Huyu labda Kwa sura yake ya kiarabu na kujipodoa ila kamwe hawezi kumfikia! Acha ndoto za kumfunika king Khalled...
2 Reactions
85 Replies
13K Views
Habari wanajukwaa.. Hii filam aisee naipenda saana, na hua hianiishii hamu kuitazama muvee hii, Miss Masombuka ananikumbusha kipindi nasoma history ya south africa pale UDSM mwaka wa pili This...
0 Reactions
33 Replies
9K Views
Waungwana naomba anayekumbuka jina la movie hii anikumbushe niitafute. Niliwahi kuiona zamani na ningeipenda kuitafuta ili niipakue kwenye Internet. Baba mmoja baada ya kutalikiana na mkewe, mkewe...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Back
Top Bottom