Njema kabisa
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 699
- 238
Husika na kicha cha habar hapo juu, naomba kwa mtu yoyote mwenye nyimbo za chadema ani inbox nimpe no, zang anitumie nikipata hata huo alioimba Henri Kileo wa M4c one ntashukur pia.
Husika na kicha cha habar hapo juu, naomba kwa mtu yoyote mwenye nyimbo za chadema ani inbox nimpe no, zang anitumie nikipata hata huo alioimba Henri Kileo wa M4c one ntashukur pia.
Watch out! Lowassa is a man-made disaster!
Hujui kuwa M4C pamoja na BAVICHA ishamezwa na Wanaume 4U Movement? Sasahivi kuna nyimbo za 4U Movement tu..