Coming soon wadau.
Source Twitter page and Instagram page of Joh and Nhareel.
GMF
so what?
Unajuwa huyu davido ameshaelewa kuwa Tanzania ni nchi iliyo n active fanbase kuliko nchi yoyote Africa..
Ukiachana na masuala ya kupigiwa kura, mwezi huu pia aliahidi ndio ata release album yake, the same to wizkid.. Na kikubwa kuliko vyote ni kupata attention maana anajuwa akishaishika tanzania kwa kuteka mashabiki wa wasanii wote wakubwa atakuwa amewin saana
We jiulize
......Siku ya mtv mama alipost kuwa august davido ft. wizkid itakuwa out lakini holaaaaaaa
......Siku hiyohiyo diamond alipost video ambapo davido akasema kuwa davido ft diamond itakuwa out august lakini holaaaa
......Baada ya wiki hivii tukaona clip akisema anamshirikisha tena alikiba itatoka august hahahah lakini holaaaa
.......leo imekuja mpyaaaa, JAPOKUWA NINAMSIFU SANA JOH MAKINI MAFANIKIO ALIYOPIGA MAKUBWA SANA
Usishangae akamchukuwa WEMASEPETU kwenye video yake mpya tena coming soon kama video model hahahhahahahah
Unajuwa huyu davido ameshaelewa kuwa Tanzania ni nchi iliyo n active fanbase kuliko nchi yoyote Africa..
Ukiachana na masuala ya kupigiwa kura, mwezi huu pia aliahidi ndio ata release album yake, the same to wizkid.. Na kikubwa kuliko vyote ni kupata attention maana anajuwa akishaishika tanzania kwa kuteka mashabiki wa wasanii wote wakubwa atakuwa amewin saana
We jiulize
......Siku ya mtv mama alipost kuwa august davido ft. wizkid itakuwa out lakini holaaaaaaa
......Siku hiyohiyo diamond alipost video ambapo davido akasema kuwa davido ft diamond itakuwa out august lakini holaaaa
......Baada ya wiki hivii tukaona clip akisema anamshirikisha tena alikiba itatoka august hahahah lakini holaaaa
.......leo imekuja mpyaaaa, JAPOKUWA NINAMSIFU SANA JOH MAKINI MAFANIKIO ALIYOPIGA MAKUBWA SANA
Usishangae akamchukuwa WEMASEPETU kwenye video yake mpya tena coming soon kama video model hahahhahahahah
Unajuwa huyu davido ameshaelewa kuwa Tanzania ni nchi iliyo n active fanbase kuliko nchi yoyote Africa..
Ukiachana na masuala ya kupigiwa kura, mwezi huu pia aliahidi ndio ata release album yake, the same to wizkid.. Na kikubwa kuliko vyote ni kupata attention maana anajuwa akishaishika tanzania kwa kuteka mashabiki wa wasanii wote wakubwa atakuwa amewin saana
We jiulize
......Siku ya mtv mama alipost kuwa august davido ft. wizkid itakuwa out lakini holaaaaaaa
......Siku hiyohiyo diamond alipost video ambapo davido akasema kuwa davido ft diamond itakuwa out august lakini holaaaa
......Baada ya wiki hivii tukaona clip akisema anamshirikisha tena alikiba itatoka august hahahah lakini holaaaa
.......leo imekuja mpyaaaa, JAPOKUWA NINAMSIFU SANA JOH MAKINI MAFANIKIO ALIYOPIGA MAKUBWA SANA
Usishangae akamchukuwa WEMASEPETU kwenye video yake mpya tena coming soon kama video model hahahhahahahah
Coming soon wadau.
Source Twitter page and Instagram page of Joh and Nhareel.
GMF
Davido kuimba na mtu asiyejulikana hata kenya ni kujidhalilisha!!
Wizkid anaweza fanya collabo hata na ommy dimpoz ila sio davido coz wana bifu zito sana linalochochowa na mashabiki hasa katika suala la tuzo "Davido ft. Kiba labda inawezekana fanyika outer space, sayari ya mars huko.