Huu mwaka Clouds media Imooooooooo

Huu mwaka Clouds media Imooooooooo

Mbao za Mawe

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2015
Posts
23,372
Reaction score
55,031
Sjui nini imooooo yani nakereka sana na huu upuuzi kidogo tu unasikia vinaitikia imoooooo nink sasa imooo?

Dah yaani huku kwetu marundwe kila kijana nae kashaanza imooooo.

Kuweni makini na hii misemo ya hawa watu "raphael wa Ureno"

Imoooooooooo
 
duh ukiona unakerwa zima redio tu

daah imoooooooooooo
 
Radio haiko moja mkuu, nenda kasikilize radio one au Tbcfm, Imooooooooo
 
Hizi redio nazo hata hazina management ya kusimamia maadili.

E fm kuna presenter mmoja najiita bikira wa kisukuma, sasa kama mpo barazani mnasikiliza redio wewe na mama ako alaf unasiji kijitu kinajitambulisha eti utakuwa na mimi bikira wa kisukuma.


upumbavu kabisa
 
Hizi redio nazo hata hazina management ya kusimamia maadili.

E fm kuna presenter mmoja najiita bikira wa kisukuma, sasa kama mpo barazani mnasikiliza redio wewe na mama ako alaf unasiji kijitu kinajitambulisha eti utakuwa na mimi bikira wa kisukuma.


upumbavu kabisa
 
Imooooooooooooooooooooooooooo. Kama huyaki jamba nitanusa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom