Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wajibu mkuu wa Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kwa wasanii ni kusimamia, kulinda, na kutetea haki miliki zao za kazi za ubunifu. Majukumu haya yanajumuisha ukusanyaji na ugawaji wa...
0 Reactions
2 Replies
119 Views
Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa. Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake...
18 Reactions
795 Replies
217K Views
Habari wakuu nina shid sana na Nyimbo za Franco FRANCO RUAMBO LUANZO MAKIADI Nyimbo za Madilu mult sytem Asanteni sana. Natanguliza Shukran Nyingi.
0 Reactions
10 Replies
179 Views
Naona azam kama wanatangaza uwepo wa tamasha la miaka 30 ya BONGO FLEVA bila shaka apo SIMU ITAPIGWA SASA
2 Reactions
6 Replies
217 Views
Wakuu kuna hizi nyimbo zenye asili ya kenya maarufu kama katitu Nina shida nazo nilikuwa nazisikia zamani lakini saivi sizikii tena mbaya zaidi hamna hata moja nayokumbuka nazipataje je...
1 Reactions
2 Replies
120 Views
STORY: SIKU ZA GIZA MWANDISHI: FEBIANI BABUYA WHATSAPP: +255621567672 EMAIL: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UKURASA WA KWANZA DARK DAYS INTRO. USIKU: INASIKIKA SAUTI YENYE MSISIMKO MKALI...
0 Reactions
1 Replies
246 Views
Hadi leo huyu shangazi yangu ananichukia kwa sababu mwaka 2007 aliniomba ni-tune Radio Maria ili askilize kipindi cha 'chaguo lako' ambapo mimi niligoma kufanya hivyo kwani kipindi hicho kilikuwa...
7 Reactions
35 Replies
502 Views
1: nini mnataka mazee - piggy black https://youtu.be/dCOyQ05vS68?si=uECRMWaSnpW4Q9CI 2: sonia - juma nature https://youtu.be/uA9-zhfpUjM?si=QhUUlDaEV8M1T-kh 3: ya leo kali - wachuja nafaka...
3 Reactions
2 Replies
155 Views
My fond memory ya huu muziki huu ni pale baba mdogo wangu alipo leta albamu ya sugu nyumbani, ilikuwa na picha ya sugu amefungwa pingu mikononi kashikilia mic na shampeni, humo kulikuwa na ngoma...
15 Reactions
109 Replies
1K Views
Tofauti na movie ubora wa Tv series unapimwa na mambo mengi, ila sana sana ni namna story inavopikwa na kuweza kumshika mtazamaji episode baada ya episode, Twende moja kwa moja kwenye mada list...
11 Reactions
139 Replies
33K Views
Katika muziki wa kisasa, mafanikio ya wimbo hayategemei tu ubora wa sauti au video, bali pia mchanganyiko wa ubunifu, mitandao ya kijamii na wakati sahihi (timing). Hii inafanya baadhi ya nyimbo...
1 Reactions
1 Replies
171 Views
Sherida ... Zacksoul... Wame UNDERPERFORM ila ni vile wabongo tunabebana.... The only good performer ni Samalerah this Round 1 na Comedian wa Mbeya kidogo na so fire.... Ila S2Kzy eti kingereza...
2 Reactions
11 Replies
283 Views
RAISI WA MANZESE MADEE. Hamad Ally a.k.a madee msanii wa Bongo fleva , moja kati ya wasanii wa Bongo fleva waliokuwa wanaunda kundi la Muziki linaitwa " Tip top connection" , kundi la muziki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KWENYE MASHINDANO YA BONGO STAR SEARCH USITEGEMEE KUSHINDA KAMA UTAIMBA NYIMBO ZA BONGOFLEVA ALAFU WENZAKO WAIMBE ZA KIZUNGU. Anaadika, Robert Heriel Mtibeli Juzi nilikuwa Mbweni kwenye finali...
0 Reactions
10 Replies
210 Views
Inauma na inaumiza sana, sina maneno mengine yakuieleezea hisia yangu juu ya Muziki na namna Unavyochukuliwa na wanaojiita wadau wa Bongo Flava. Sipendelei sana kuandika nyuzi ila mpaka leo...
0 Reactions
2 Replies
138 Views
MUHTASARI Faraja zote walizozitegemea baada ya ujio wa uongozi mpya, zilipotea. Maisha kupanda, mfumuko wa bei ya vitu, ufisadi, ukosefu wa ajira, rushwa ya kila namna. Watu walimlaani Rais...
0 Reactions
2 Replies
243 Views
Niaje wakuu, nina shida ya kupata nyimbo ya zamani kidogo, inaitwa 'HUWAJUI MADEM' by MWIJU FT QJ Mwenye kuwa nayo akinisaidia ntashukuru sana
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wana jamvi,mimi ni mdau mkubwa wa mziki wa mchiriku/mnanda. Mziki ambao ulitawala na kujizolea umaarufu mkubwa kwenye miaka ya 90 hadi 2000,binafsi nimekulia kwenye jamii yenye kuhusudu mziki huo...
15 Reactions
310 Replies
52K Views
Nchi zinazojitambua zinajitahidi Kutunza mitaji ya ndani na hivyo kila fursa inayopatikana inatunzwa kwa faida ya Nchi. Kirando cha kumnyima Mtanzania (alistahili) Sofia (So-Fire) zawadi ambayo...
2 Reactions
3 Replies
135 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…