SONG: Grace Matata - Free Soul

SONG: Grace Matata - Free Soul

kipaji hiki sikisikii siku hizi! nini kimemkuta mwanadada huyu
 
Labda simu yako ndio inashida kwa audio player
 
Duh na mimi mwenye wimbo wa ismail kipira "ombi langu" anisaidie nimeshautafuta sana....
 
Msaada: naomba kujua Ni Nani aliimba huu wimbo ulikuwa classic enzi hizo
" naomba nipende kama nilivyo mi msela ...usiniache"
 
Msaada: naomba kujua Ni Nani aliimba huu wimbo ulikuwa classic enzi hizo
" naomba nipende kama nilivyo mi msela ...usiniache"
chelea man-usiniache..
njoo pm unipe whatsapp namba nkutumie,
 
kuna wimbo unaimbwa "siri ya niniii, .... anajuaa, siri yanii nin faida yake...., siri ya mapenzi siri ooh ... mapenzi ya sirii....." naupenda sana na nimeutafuta muda mrefu nimeukosa, mwenye nao naomba anisaidie aupost hapa
 
kuna wimbo unaimbwa "siri ya niniii, .... anajuaa, siri yanii nin faida yake...., siri ya mapenzi siri ooh ... mapenzi ya sirii....." naupenda sana na nimeutafuta muda mrefu nimeukosa, mwenye nao naomba anisaidie aupost hapa
Mkuu umenigusa pabaya sana! Jumbe jaman aliimba humu. nimejaribu kuutafuta sana, sijaupata asee!
 
Back
Top Bottom