RIWAYA: KONSTEBO NGUZU
NA: George Iron Mosenya
"Nimekosa magoli zaidi ya 9000 katika maisha yangu, nimepoteza mechi zaidi ya 300 katika maisha yangu, niliaminiwa mara 26 kuwa nitaipatia timu yangu...
Hi Tanzanians, i think hapa kwetu nchini kuna wapenzi wachache sana wa Rock, Punk, Electro and Gothic.. I think its time for us to support it. Kuna bends nzuri kama vile Linkin Park, 30 seconds to...
Hapo nyuma kidogo bendi ya k-mondo sound walitoa wimbo ulioimbwa kwamba mke Wa MTU ni sumu...nimejaribu kuutafuta sijaupata, mwenye nao anitupie plizz!!!
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums...
Wanajamvi habar
Naomba msaada namna ninavyoweza ipata filamu ya ROOTS 1977,ama maarufu kama "kunta kinte" maana juhudi zangu na maarifa yamegonga mwamba....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshindwa elewa kabisa Castle lite wamewaza nn kumleta msaani kama Future nchi Tz.
Sidhani kama Future ana Mashabiki wa kutosha na sina uhakika kama asilimia kubwa ya watu wanamfahamu...
THE ISLAMIC WIFE
(Mke Muislamu)
Sehemu Ya 1
Mtunzi... MoonBoy
Simu No, +255714419487 WhatsApp
Inapoanzia Rasmi
NDUGU WASOMAJI WANGU... SIMULIZI HIII... HAITOKUWA NA VIPENGELE VIREFU, KAMA...
Wana jf wenzangu natumai mwaendelea vyema na wkend.
Nikirudi upande wa Harrison Ford mimi mpenzi wa movie zake nyingi hasa pale anapokutana na mikiki ya hali ya juu na kupambana wakati mwili wake...
hivii utaratibu wa bann ukoje wakuu. ..??
tunapigana tuuu bilaa kupewa taarifa na kama kuna kosa kwanni tusiambiwe kwanzaa na hao ma mods.Tangu juziii nilikuwaa najalibu ku login JF naambiwa no...
Wakuu natafuta tamthilia ya kihispaniola iitwayo la esclava blanca ama the white slave kwa kiingereza. Kwa yeyote mwenye soft copy ama maujanja ya kudownload naomba anisaidie. Kwa sasa ni episode...
Kama kawaida, timu yetu ya Taifa ya mpira wa miguu imetolewa michuano ya CHAN na timu ya Taifa ya Rwanda.
Inasikitisha sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam wakuu,kuna remix ya wimbo akatambala imeimbwa na saida karoli nimeisikia Leo kwenye kituo kimoja cha redio.Nimejaribu kuitafuta mitandaoni lakini sijafanikiwa,kama kuna aneweza kufanikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.