Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Msaada tafadhali wa site ambayo na weza download movie hiyo maana site nyingi nimejaribu bila kufanikiwa. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
fateni hii link kuja kwenye group ya kudiscuss mikeka SOCCER PUNTERS
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Likizo imeanza jamaniii kwa sisi wageni wa dar jamaniii mtujuze sehemu nzuri za starehe. Maana huko ndo kuna masponsers..[emoji12] [emoji12] [emoji12] kabla hatujarudi likizo home......tumalize...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakuna wimbo mzuri kama huu dunia nzima
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Sikuwa zimesalia Dk 10 mtanzania yuko nafasi ya tatu,tuongeze maombi Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
NAKUMBUKA LYRICS ARTIST : 12CODE (PUNCH RIDER MC) Verse one Nakumbuka First time nadata na game//............. As a rapper,mc/negro ma nick name//.............. Enzi ya SHAGGY na MR. BOMBASTIC...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Haya haya,kwa wale wote ambao mnapenda muziki basi kuna redio mpya hapa Dar,ukiachilia 103.3 ambayo wanapiga ngoma bila matangazo tena ngoma kali,basi ipo hii nyingine 98.5 ni hatari ,maana...
4 Reactions
35 Replies
7K Views
Kuna wimbo mwanangu wa CHEKECHEA akiimba najisikia vibaya sana na huwa nashindwa kumkataza na huwa naondoka hapo au namtuma pipi au biskuti ili asiuimbe kwa sababu ni wimbo wa uwongo ila ngoja...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Za Leo wakuu, tafadhali naomba majina ya nyimbo za asili za Tanzania ambazo ni nzuri kwa kusikiliza na kucheza asanteni.
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Nani anafahamu kustream DStv online kupitia simu Kwa kutumia mb Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
775 Views
BREAKING NEWS: Watu wa wili wenye hasira kali mkoani Tabora wamechoma tanuri kubwa la matofali mpaka limeiva... _Kwa taarifa zaidi ngoja nifatilie....._...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
4 Replies
11K Views
Wadau wa filamu salaam, naomba kujuzwa yule Sokwe na wale wadudu wengine waliotumika kwenye sinema hiyo ni wa kubuni (artificial) au ni wa asili (original)? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Gday all.
0 Reactions
0 Replies
514 Views
namkumbuka huyu ni moja ya wanamuziki wa muda mrefu wa bongo fleva na kibao chake cha mwisho ambacho mpaka leo mimi hukisikiliza ni kibao Kama Japenga. na huko kuna kipande kimoja anasema...
0 Reactions
60 Replies
10K Views
Wapenzi salaam, Katika kile kinachoonekana ni kukosa ubunifu, Wasafi Recorda wameonesha kuwa very unprofessional kwa kuchukua kazi ya Mkito katika mitandao yao ya kijamii, kuondoa logo na kuweka...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Mtunzi ( Author) Namba Moja Ulimwenguni Wa Novel Za Conspiracy Hatimaye Amekuja Na Novel Mpya Yenye Siri Kuu, Vitu Ambavyo Huwezi Kuvipata Sehemu Yeyote Ile Ila Ndani Ya Hichi Kitabu Maridadi...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Kete ya JB MPIANA La Danse Du Cheval A.K.A mpunda Kete ya FERRE GOLA Tchekele Pete Best Male West Africa Fuse ODG Feat Itz Tiffany, Donae – Azonto, Ghana Molare – Coupé Decalé, Côte...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom