Ni wimbo mpya wa Mrisho Mpoto; nimeusikiliza kwa makini kwani ameuimba kwa lugha tata sana na sio rahisi kujua aliakuwa anamaanisha nini kwa haraka haraka,
Baada ya kuusikiliza na kutafakari...
Wadau,
Sasa tunaongeza chaneli mpya ya michezo kwa saa 24 kila siku itakayoitwa Azam Sports 2 na kuzinduliwa rasmi tarehe 12 Agosti mwaka huu.
Kwa ongezeko hilo, kifurushi cha Azam Pure cha...
UPEPO WA USIKU-18
BONIFACE BIRAGE
Mama Shully alijishauri sana kati ya kutopiga simu au kupiga kituo cha polisi.Tiyari ameshakuwa mshirika namba moja katikati ya mauaji makuu matano nyumbani...
Hallo,
Kwa wale wanaopenda kupata taarifa ya kisiasa, michezo na vinginevyo, basi kuna chanel mya ya youtube inayeitwa Dakika 3 ambayo inatoa taarifa kwa dakika tatu.
Hii ni halka ya kwanza.
Habari wana jamvi kuna wimbo wa mwijuma muumini unaimwa "MAPENZI GANI YA SAFARINI ,
YA KUDANGANYANA MAMA WEWE UNAKWENDA SONGEA BWANA ANAKWENDA MTWARA"
Tafadhalini naupenda sana nisaidieni wana jamvi.
Hawa jamaa E fm unajua wanaweza kuwapindua ki ushawishi na usikilizwaji clouds media. Maana leo kila kona yani mji mzima wazee kwa vijana naona wameshika kasi kuelekea Tanganyika Packers...
OFAA OFAAA OFAAAAA
Kama wewe ni masanii wa muuziki wa aina yoyote na umeshatengeneza audio yako unataka ku shoot video nzuri na yenye kiwango cha juu kulingana na soko la Africa Mashariki kwa...
Teacher Isack,hapa kazi tu
Bora uwe mshumaa,uteketee mpaka mwisho
Kumulikia wengine,mpaka mwanga uonekana
Kuliko kuwa sabuni,kusafishia mafisadi
Kukandamiza wanyonge,hata mungu hapendezi
We raisi...
Ktk album ya Jigga 4:44 kuna hii ngoma na jina LA ngoma tu lilivyo nilihisi ni story ya MTU kwa hilo jina so nikaipakua kusikiliza nini haswa kimezungumziwa,Na kwa asilimia kubwa haikuwa km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.