UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,384
- 980
Kuna wimbo mwanangu wa CHEKECHEA akiimba najisikia vibaya sana na huwa nashindwa kumkataza na huwa naondoka hapo au namtuma pipi au biskuti ili asiuimbe kwa sababu ni wimbo wa uwongo ila ngoja nitajua namna ya kumkataza kuuimba maisha Yake yote.