Wasafi Wanaiba kazi za Mkito

Wasafi Wanaiba kazi za Mkito

stellahthatcher

Senior Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
168
Reaction score
165
Wapenzi salaam,

Katika kile kinachoonekana ni kukosa ubunifu, Wasafi Recorda wameonesha kuwa very unprofessional kwa kuchukua kazi ya Mkito katika mitandao yao ya kijamii, kuondoa logo na kuweka logo yao.
Nimeona huko Twitter raia wanalalamika kitendo hiki na kusema [HASHTAG]#WasafiWamekuwaWachafu[/HASHTAG]

mkito1.PNG
mkito2.PNG
mWasafi.PNG
mWasafi2.PNG
mkito2.PNG
 
aisee mimi ndo nimetoka kapa kabisa. sijui hata anazungumzia nini. haya mambo muwe mnatuelezea na sisi ambao tupo tight na ujenzi wa taifa. wasafi ni akina nani na wanashughulika na nini na pia hao mikito
 
aisee mimi ndo nimetoka kapa kabisa. sijui hata anazungumzia nini. haya mambo muwe mnatuelezea na sisi ambao tupo tight na ujenzi wa taifa. wasafi ni akina nani na wanashughulika na nini na pia hao mikito
Wasafidotcom wamekopi kazi ya online ya Mkito na kujaribu kuifanya ni ya kwao.
 
Hizo ni picha za kwenye mtandao na wewe unaweza chukua ukabandika logo hakuna aliyepiga hiyo picha wala kuotengeneza wote wamechukua mtandaoni wakabandika logo so kati yao haluna mmiliki halali wa hiyo picha.
Wasafi wametumia copy exactly ile walivyoweka Mkito, hadi font style hadi colour everything except the logo. Unasema hakuna mmiliki?
 
aisee mimi ndo nimetoka kapa kabisa. sijui hata anazungumzia nini. haya mambo muwe mnatuelezea na sisi ambao tupo tight na ujenzi wa taifa. wasafi ni akina nani na wanashughulika na nini na pia hao mikito
Wanajishughulisha na usafi wa mazingira pamoja na usafi wa ndani ukiwa na tenda unaweza kuwaalika!!
Nadhani utakua umeelewa
Watajijua wenyewe.

-Ndumilakuwili-


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli wameiga art work ila hakuna mwenye copy right ya hiyo picha kati yao.
Sema designer wao kawashusha sana
Pointi ipo hapo walipochukua kazi ya mtu mwingine na kuweka logo yao baada ya kuondoa logo ya Mkito.
 
aisee mimi ndo nimetoka kapa kabisa. sijui hata anazungumzia nini. haya mambo muwe mnatuelezea na sisi ambao tupo tight na ujenzi wa taifa. wasafi ni akina nani na wanashughulika na nini na pia hao mikito
zisipochukuliwa hatua stahik..kuna siku hii nchi itabaki mikononi mwa wapuuzi
 
Back
Top Bottom