DstvNijulisheni wana jf.Hiyo channel ya tve inapatikana kwenye decoder gani? Dstv? startimes?continental? zuku?Nataka ninunue decoder yenye chaneli ya tve.
Nijulisheni wana jf.Hiyo channel ya tve inapatikana kwenye decoder gani? Dstv? startimes?continental? zuku?Nataka ninunue decoder yenye chaneli ya tve.
ipo Dstv, Azam, Zuku, Startimes...Nijulisheni wana jf.Hiyo channel ya tve inapatikana kwenye decoder gani? Dstv? startimes?continental? zuku?Nataka ninunue decoder yenye chaneli ya tve.
Azam,zukuNijulisheni wana jf.Hiyo channel ya tve inapatikana kwenye decoder gani? Dstv? startimes?continental? zuku?Nataka ninunue decoder yenye chaneli ya tve.
Lumumba imekuathiri sana ww jamaa uongo uongo mpaka kwenye mambo ambayo hayahusiani na siasa,tuambie Startimes ni chanel no ngap?...ipo Dstv, Azam, Zuku, Startimes...
DSTV channel no 295
Kifurushi cha bei ya chini kabisa dstv Tshs 19,000/- kwa mwezi. kinatosha kuitizama TVE pia, ikiwa pamoja na local channels zote, ITV, TBC, Channel 10, Star TV, super sports, 3,,4, 8,9,10, MaximoAsanteni wakuu ntaenda huko mwakani baada ya kujipanga maana nasikia dstv ni waghali kinoma!
Supersports 3 na maximo hazipatikani kwenye bomba.Kifurushi cha bei ya chini kabisa dstv Tshs 19,000/- kwa mwezi. kinatosha kuitizama TVE pia, ikiwa pamoja na local channels zote, ITV, TBC, Channel 10, Star TV, super sports, 3,,4, 8,9,10, Maximo