Gnako huyu jamaa sio mzuri kabisaa.Habari wanabodi,
Hawa jamaa Weusi hii nyimbo yao unanifanya nicum ni noma! Wako vizuri sana...Gnako ni fundi mbaya, na vile kacombine na mafundi Joh na Nicki basi ngoma imekamilika.
Big up kwao..
Sasa Uko wap huo wimbo
Ni noma huyu jamaa siyo kitikio siyo mistar...!!Gnako huyu jamaa sio mzuri kabisaa.
kama ni kiungo kwenye mziki basi ni Xavi.
Ni track nzuri nimeipenda saana.
Ni wimbo mzuri sana aisee. Naupenda balaa, ila VIDEO HAWAJAITENDEA HAKI...!!! Haijatulia kiivyo, cjajua kama sababu ni participants kuwa wengi na lazima WOTE waonekane au vipi. Yan hata wewe muangaliaji macho hayatulii picha inajibadilisha fasta aisee.
Binafsi sio fan wa Diamond, ila kiukweli anajitahidi sn kutengeneza video zake.
NB: Maneno yng sio sheria. Huo ni mtazamo wangu tu...!!
Vijana wa Siku hizi hawajui hata matumizi sahihi ya ngeli.Wewe shuleni ndio mnafundishwa huu ujinga wa nyimbo badala ya wimbo sio? huwezi kufanya kazi kiwandani wewe, pumbavu kabisa
Ilikuw ni kama mfano mkuu..!!!Sasa diamond kaja vipi hapa
Jamaa itakua unatatizo mahali si bure..Wimbo una matusi mwanzo mwisho. Walianza na kuamsha DUDE sasa eti wana cum. Nitaandaa audio clip ya kuzifafanua nyimbo zote za matusi Tanzania nzima ili wakose mashabiki. Nyimbo gani hizo zina zuio la umri kusikiliza na huwezi kusikiliza na wazazi wako?
Au matusi ndio KIKI?
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/354500/eti na yeye alitaka kuwa lecturer kabisa, uzezeta tu, hana loloteVijana wa Siku hizi hawajui hata matumizi sahihi ya ngeli.
U-Zi Wimbo - ule
Nyimbo - zile
Matatizo yangu sitaki kusikia matusi ambayo wewe unayapendaJamaa itakua unatatizo mahali si bure..
Ok sawia mkuu,Matatizo yangu sitaki kusikia matusi ambayo wewe unayapenda