jamani naomba msaada kwa mwenye very good experience na sound engineering and piano jinsi ya kuandika the best melodies
refer the beat i have created below i need to add the best melody onto it
Salam ndugu zangu,natumaini Iddi imekwenda salama.
Samahani jamani,ninaomba mwenye link ambayo itaniwezesha kupakua series mbali mbali kwa kutumia simu.
Link hizo ninazo zihitaji zisiwe za...
Habari zenu wakuu naombeni link ambayo itanisaidia kupakua nyimbo mbali mbali iwe bongo fleva au za kidini kwenye simu natumia TubeMate ila kwenye pc ndo sina maujuzi
Tafadhali wana jamvi mwenye hii series inaitwa If Loving you is wrong, nahitaji season ya 5 na kuendelea, please naomba kama unayo na upo Dar niambie nitakufata ulipo, nitakuja na flash...
Nmepoteza uzalendo katka hili baada ya kugundua vipengele vyote Diamond alivyopo anashindana na Prince Davido ambea anackik balaaa Africa na Dunian kote,Watz sio wapiga kura sisi tupo tayar kwa...
Ndugu, kichwa cha habari chajieleza.
Jana usiku nilikuwa na kiu kubwa ya maji, basi nikaingia kwenye jokofu nikachukua machungwa mawili yenye maganda kama machafu fulani hivi (nadhani ya Muheza...
Mi movie ya "Dragon Tiger Gate" ya Donnie yen akiwa na vijana wengine wawili hatari.
Nimeitafuta YouTube, Fmovies kote hakuna full movie, wakuu naomba nisaidieni link ya kudownload hii movie ...
Ni wimbo ambao kiukweli kwa sasa ndiyo una hit sana airwaves za Radio Stations nyingi za Tanzania ambapo siujui wote ila Kibwagizo chake tu ndiyo nimekikariri ambacho kinasema ' nampa...
i hope Aslay gets the right management to handle his music, namuombea kwa Mungu aheshimu uongozi wake na pia awe na nidhamu ya kazi na ari ya kutaka kufika mbali , the game has changed and its...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.