Sio mbaya aliimba kumtukuza Mungu.Msanii wa nyimbo za injili aliyeimba wimbo wa Mungu ni Mungu tu ka copy wimbo wa djassa djassa.Djassa djassa ni comedian wa Kongo aliimba wimbo Mtu ni mtu tu.
acha upuuz kila kitu cha nje ndie kimetangulia ? tuthibitishie kuwa huyu alirecord akauachia tarehe flani na huyu tarehe flan...halafu huyo ni comedian ..kama anavyofanyaga joti kurudia nyimbo za watuMsanii wa nyimbo za injili aliyeimba wimbo wa Mungu ni Mungu tu ka copy wimbo wa Djassa Djassa.Djassa Djassa ni comedian wa Kongo aliimba wimbo mtu ni mtu tu.