IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,018
Kauliza Salaam meneja wa Diamond!
Pia kapost picha za Shilawadu. Ni kama ana-show ni wazima wa afya.
Na RC yuko na dancers anayetuhumiwa kufanya vurugu hadi kuwavunja mikono. Am not sure km wamechukua RB au form ya PF3 police.
My take: Kuna kitu kinaendelea mafahari wanapigana. Tutajua mwisho wake.
Pia kapost picha za Shilawadu. Ni kama ana-show ni wazima wa afya.
Na RC yuko na dancers anayetuhumiwa kufanya vurugu hadi kuwavunja mikono. Am not sure km wamechukua RB au form ya PF3 police.
My take: Kuna kitu kinaendelea mafahari wanapigana. Tutajua mwisho wake.