wakuu kuna huu wimbo wa taarabu wenye maneno haya
...duka lako la asali sasa linanuka shombo...ukipewa bia mbili hujiwezi huna nyimbo...
....wanakugombania kama mpira wa kona...
nani aliimba huu wimbo na unaitwaje??
mkuu umenilisha kasa!...siyo yenyewe hii imeimbwa na mwanamziki wa kiume,nadhani yule aliyeimba ASU
wakuu kuna huu wimbo wa taarabu wenye maneno haya
...duka lako la asali sasa linanuka shombo...ukipewa bia mbili hujiwezi huna nyimbo...
....wanakugombania kama mpira wa kona...
nani aliimba huu wimbo na unaitwaje??
jna lake kiongozi!
jna lake kiongozi!
Ulipigwa na TOT Taarabu,aliimba Ally Star....
Kaka nilichanganya na Nyama ya bata maana ni mwimbaji mmoja na bendi ni moja
nadhani unaitwa ZUMBUKUKU/ZUMBWEKUKU
Ni kweli kabisa, wimbo umeimbwa naTOT Taarab, umetungwa, umetiwa muziki na umeimbwa na Ally Star, unaitwa Kala hasara (Mdogo wa kimo unamambo wewe).
Ulipigwa na TOT Taarabu,aliimba Ally Star....
Kaka nilichanganya na Nyama ya bata maana ni mwimbaji mmoja na bendi ni moja
nadhani unaitwa ZUMBUKUKU/ZUMBWEKUKU
Ni kweli kabisa, wimbo umeimbwa naTOT Taarab, umetungwa, umetiwa muziki na umeimbwa na Ally Star, unaitwa Kala hasara (Mdogo wa kimo unamambo wewe).
wakuu na kitu chenyewe ndo hiki!ama kweli google iko juu unaweza ingia kwenye hiyo link ukasikiliza kitu kama wakipenda pia!!wakuu nashukuru kwa michango yenu nimekipata kitu kinaitwa
wakuu kuna huu wimbo wa taarabu wenye maneno haya
...duka lako la asali sasa linanuka shombo...ukipewa bia mbili hujiwezi huna nyimbo...
....wanakugombania kama mpira wa kona...
nani aliimba huu wimbo na unaitwaje??