Wadau wa Entertainment, kati ya rappers hawa kutoka Kenya ni nani mkali zaidi? Rappers hawa ni Collo, Khaligraph Jones na Octopizzo. Mimi nawakubali hawa jamaa ila Collo nampa nafasi ya kwanza akifuatiwa na Khaligraph na Octopizzo.
Taja na nyimbo tuzitafute tupimeKenyan rappers
1. King kaka rabbit
2.octopizo
hao ndo nawaona wakali japo hawajui kufreestyle kama marapa wa bongo ila wana sound poa sana
Naomba nifute kauli kama ataongezeka Nyashinski kwenye list.So nikk ni vipi bhana/ kimziki ndio sisi ama/...
Hip hop inaenea inapanda/ nabado wajinga wanakemea wajanja/ kajole alishanipeaga namba moment of silence for mangwea na langa. Shika hizi DVDs uende ukacheki ndo utambue mazee ni bidii...
baba yao ni mkali aseeh ila kuna watu wanahitaji heshima zao kama jua kali....