Niko underground ndani ya town sina papara/ full mkoba taratibu ndani ya msafara/ usilete mkwara ipo siku nitatawala/ wakati umefika nimekita kama namadala / kenge wengine wote mi nawaona mafala/...
Wasalaam wana JF.
Ni muda mrefu sasa (zaidi ya miaka 30) nimekuwa mshabiki wa movie za vita, uhasama, ubabe na umafia kati ya bin adam na bin adam ila imetokea ghafla kuanza kuona hakuna jipya...
NimesikilizaVibaovipyavya mwanamzikinguli R-Kelly aka ROBERT KELLY ameshusha nyimbo mpya na nzuri ila zote ni zakumtukuza Mungu na kujutia ila ni nzuri sana!
Msikilize Hapa Toa Maoni yako ila mimi...
Ni wimbo ule ambao umetolewa kuanzia mwezi wa 10 au 11 na unajua kabisa huu lazima utakuwa tishio huko kwenye starehe au madisco na utakuwa unapigwa Sanaaa tu kwenye sikukuu,
Mimi wangu ni huu👇
TZ MP3 MEDIA Download na kusikiliza nyimbo mpya za Bongoflava Audio pamoja na video zake ambazo zinaendelea kutoka kwa wasanii wakongwe na wapya pia hapa TZ MP3 MEDIA ndio mtandao unaokuletea...
Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine
Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia
Pia kuna
Captain Philips...
Kwa wale wapenzi Wa movies zenye love story nzuri na za kusisimua tukutane hapa comment movie moja yenye kusisimua na kuvutia.
Mimi kuna movie flani inaitwa forever my girl imenivutia sana story...
Great Thinkers
Hawa jamaa kwenye Kuimba wana dunia yao aisee na havana mpizani hapa Tanzania.
1. Msukuma humwambii chochote kuhusu nyimbo zao za asili, tembelea uskumani kama utakuta singeli...
Kama unapenda kisasi basi hii itakufaa imetoka mwaka huu ni Kali sana mtu wangu
Hii nayo imetoka mwaka huu siku ya wapendao inaenda kuharibika je unataka kujua Nini kilitokea icheki mtu wangu...
Jamaa alionekana kwenye series ya Game Of Thrones akitambulika mule kama Ramsey Bolton na katika tafiti kutoka kwa watazamaji jamaa anachukuliwa kama muigizaji mwenye roho ya kikatili sana,na hili...
HII NDO ARDHI AMBAYO HAIJAWAI KUGUSWA NA MWANGA WA JUA (NURU) TANGU KUUMBWA KWA DUNIA.
Dunia ina maajabu mengi sana . Sasa hili la leo ni la mwaka 1960 maisha ya giza
UZI👇🏼
Katika historia ya...
Habari za muda huu kwa wanajamiiForums, ninasikiliza wimbo wa Cosmas Chidumule unaofahamika kwa jina la "Libarikiwe Neno Hili"
Muimbaji Cosmas Chidumule...
These are the possibility of actors to be casted (don't take it seriously 😃)
Tom Cruise
John Depp
Samuel Jackson
Morgan Freeman
The Rock
Arnold Schwarzenegger
Rambo
The Taker...
Anaitwa Guy Ritchie amezaliwa Uingereza septemba 10 1968 kazi yake ni mwandishi na muongozaji wa filam ameandaa muvi nyingi kali kama Operation Fortune, The Gentleman ilishinda tuzo ya muvi bora...
Series inaitwa Game Of Thrones mpk sasa inashika nafasi ya kwanza Duniani kuwa series iliyoangaliwa sana na watu na kuweka kupewa rate ya juu.Rate 9.2⭐ ikiwa na misimu 8 ndani yake.
Stori...
▪️ Genre: Action, Drama, Thriller
▪️ Date: 15 Jan 2016
▪️ Rate: 7.3/10 IMDb
▪️ Time: 2h 24m
▪️ Director: Michael Bay
▪️ Main characters:
John Krasinski kama Jack Silva
James Badge Dale kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.