maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,842
Wakuu mtakumbuka yule muimbaji wa Uganda wa Radio and Weasel alifariki baada ya kushambuliwa na baunsa. Sasa naona mbadala wake umepatikana ambao ni chemistry moja hatari mno maana huu wimbo wao mpya wa 'mpa love' ni shida sana na kama wataendelea hivi basi kazi itaonekana.