Mabibi na Mabwana Nawakaribisha Kusikiliza Audio Mpya ya Kwake Diamond Platnumz Ft. Omarion , Wimbo Unaitwa "African Beauty"
DOWNLOAD HAPA ILI KUSIKILIZA AUDIO : Diamond Platnumz Ft. Omarion -...
Mabibi na Mabwana nawakaribisha kutaza Video Mpya ya Kwake Diamond Platnumz Ft. Omarion , Wimbo Unaitwa "African Beauty"
BONYEZA HAPA LINKI HI VIDEO : Diamond Platnumz Ft. Omarion - African...
Wasalaam wakuu,kuna wimbo nineusikia mahali fulani na baadhi ya mashairi yake ndio haya
Wimbo ni wa gospel
....
Mimi ninae rafiki,
Pendo lake la ajabu kwangu
Alikubali mauti,ili anipate mimi
Kwake...
Katika nyimbo zinazonibariki ni pamoja na huu ambao nimeutafuta sana bila mafanikio. Kwa yeyote atakaeweza kufanikisha kuupata na kuuweka hapa nitamshukuru sana.
Itapendeza kama ukipatikana video...
Pipo, msaada wajameni! juzi nikiwa nasikiliza ka-radio kangu, mara nikasikia wimbo fulani amazing na wataratibu, Rnb fulani ya kibongo. siyo mzuri wa kukariri mashairi lakini nakumbuka kiitikio...
Hivi karibuni nimejaribu kufikiria nikaona kumekua na upungufu wa ma sponsor kwenye masuala ya entertainment haswa muziki hivi nini inaweza kuwa sababu.
Je wameona mziki haulipi au ni nini?
In my life I have always been an achiever . Always a good getter. I flourished at becoming good at all I did. Always good enough . A perfect son. A lastborn son. I got certificates for them. I got...
ILIPOISHIA
“Sasa mtu unakuwa na pesa, halafu unaiua familia yako! Si bora tu ungefanya kitu kingine,” alisema jamaa mwingine kwa majonzi, mpaka muda huo hakukuwa na mtu aliyejua ukweli juu ya...
Mwezi juni mwaka jana, mfalme wa msituni, alitangaza mtandaoni kuachia album yake aliyoiita 7 jours de la semaine (siku saba za wiki au wiki nzima),.
Jina.
Jina la album hii likimaanisha wiki...
Mwezi juni mwaka jana, mfalme wa msituni, alitangaza mtandaoni kuachia album yake aliyoiita 7 jours de la semaine (siku saba za wiki au wiki nzima),.
Jina.
Jina la album hii likimaanisha wiki...
Wakuu habarini za usiku,bila kupoteza nguvu na muda kuna filamu moja hivi ya hapahapa bongo MRISHO MPOTO kacheza kama jambazi,filamu hiyo inahusu madaya ya kulevya yaliyo wekwa kwenye kiatu bahati...
Wow wo!! Karibuni members wote wenye uwezo WA kurap..na hii itakua text battle..unaanza na bars kazaa,anaefuata anaunga..as a music composer and sound engineer..atakae fanya vizuri,.nna beats kali...
ZAWADI YA HARUSI, Hii ni riwaya ya kusisimua na kuelimisha inayofuata ubora uleule wa ubunifu toka kwa mwandishi mbunifu inayomhusu msichana mrembo Josephine.
Licha ya uzuri aliokuwa nao...
KLABU ya Manchester United ipo katika mikakati ya kuutanua Uwanja wa Old Trafford katika upande wa majukwaa ili kuingiza watu 88,000 kutoka 75,000 wanaoweza kupata siti kwa sasa.
Hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.