Official Video: Diamond Platnumz ft Omarion_African Beauty

Official Video: Diamond Platnumz ft Omarion_African Beauty

kuweka kipande cha picha unachojua kabisa hapa nchini itapigwa pin...!
 
Imebid nirudie ku comment
Wimbo ni mkaliii, vijana wameutendea haki hasa mgeni mwalikwa. Video wafungie hata kesho asubuhi nasapot hilo, ila audio watuachie ita faa.
hhaa unang"ata na kupuliza chifuu
 
Jealous down wakuu. Nyimbo kali, Omarion kasimama nawish ange anza yeye.
Ila jamaa naye kazingua wangetoa video nzuri tu ya kawaida ipigwe bongo kila sehem, it was unneccessary kuifanya hvo walivo itoa.
Video imekuwa ya Kimagharibi sana wkt muziki wake Unapendwa na watoto hadi wazazi,,,angepunguza kdogo km sauti yake tayali imeshahit,,
 
Hahahah
Hamna man naongea ukweli, kipande kidogo tu kilikuwa si cha kuharib wimbo mzima mkali kias hiki ufingiwe.


Wanaweza ku Edit tu hiyo sehemu ya video ikawa in clean version. Sidhani wana haja ya kutoa yote.
 
Video imekuwa ya Kimagharibi sana wkt muziki wake Unapendwa na watoto hadi wazazi,,,angepunguza kdogo km sauti yake tayali imeshahit,,
Diamond kwa hapa bongo ana washabiki wengi kuanzia watoto mpaka watu wazima kabsaa. Angelifikiria hilo asiwanyime raha watu ambao wange weza kukaa sebuleni na kuucheki wimbo kupitia ITV au channel 10. Wimbo wa Adele unaonesha giza giza tuu ila ndio una viwers wengi kuliko hata nyimbo za wakaa uchi. Song ikiwa kali namna hii, mzungu hata aoneshwe watu wamepiga kanzi tuu ana ikubali.
Nadhani watu hawakumshauri vyema.
 
Back
Top Bottom