Uwanja wa Old Trafford Kupanuliwa Mwaka Huu

Uwanja wa Old Trafford Kupanuliwa Mwaka Huu

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,672
A395F13EF646499BA4D14F86ACF7E7DA.ashx_.jpg
KLABU ya Manchester United ipo katika mikakati ya kuutanua Uwanja wa Old Trafford katika upande wa majukwaa ili kuingiza watu 88,000 kutoka 75,000 wanaoweza kupata siti kwa sasa.
Hivi karibuni Kocha wa United, Jose Mourinho alilalamika kuwa mashabiki wao wanakuwa kimya wakati wa mchezo kitu ambacho hafurahishwi nacho, hivyo ikiwa ongezeko hilo litafanyiwa kazi, watakuwa na nafasi kubwa ya kuongeza mashabiki wao wakati wa mechi.
1673135_full-lnd.jpg
Ripoti ya kuanza kwa mradi huo bado ipo chini ya uongozi lakini hata kama ukifanyika hautakiwi kuingiliana na mipango ya usajili.

Licha ya kutumia pauni milioni 300 tangu alipotua United, Mei 2016, bado Mourinho amekuwa akisisitiza kuboresha kikosi chake cha sasa, hivyo bajeti ya mambo hayo mawili inatakiwa isiharibu mipango.
Kingine ambacho kinaishawishi United kuboresha uwanja wao ni kutokana na wapinzani wao wakiwemo Man City ambao wameboresha uwanja wao na kuwa na huduma nyingi zaidi.
 
A395F13EF646499BA4D14F86ACF7E7DA.ashx_.jpg
KLABU ya Manchester United ipo katika mikakati ya kuutanua Uwanja wa Old Trafford katika upande wa majukwaa ili kuingiza watu 88,000 kutoka 75,000 wanaoweza kupata siti kwa sasa.
Hivi karibuni Kocha wa United, Jose Mourinho alilalamika kuwa mashabiki wao wanakuwa kimya wakati wa mchezo kitu ambacho hafurahishwi nacho, hivyo ikiwa ongezeko hilo litafanyiwa kazi, watakuwa na nafasi kubwa ya kuongeza mashabiki wao wakati wa mechi.
1673135_full-lnd.jpg
Ripoti ya kuanza kwa mradi huo bado ipo chini ya uongozi lakini hata kama ukifanyika hautakiwi kuingiliana na mipango ya usajili.

Licha ya kutumia pauni milioni 300 tangu alipotua United, Mei 2016, bado Mourinho amekuwa akisisitiza kuboresha kikosi chake cha sasa, hivyo bajeti ya mambo hayo mawili inatakiwa isiharibu mipango.
Kingine ambacho kinaishawishi United kuboresha uwanja wao ni kutokana na wapinzani wao wakiwemo Man City ambao wameboresha uwanja wao na kuwa na huduma nyingi zaidi.

Bora upanuliwe labda Timu ' pinzani ' zinazoenda hapo zitakuwa zinapata ' haki ' kutoka kwa Waamuzi ( Referees ) na isiwe kama jana ambapo ' Mwamuzi ' ametuuma na kutuumiza sana Sisi Liverpool FC hadi Rashford akapata ' Sifa ' ambazo hata hastahili kwani hajui mpira na kubakia ' Kubahatisha ' tu. Yule Refa wa jana angekuwa huku Tanzania Kwetu nadhani jana ile Mimi na Yeye tungegawana Majengo ya Serikali kwani alinipandisha sana hasira / jazba.
 
Bora upanuliwe labda Timu ' pinzani ' zinazoenda hapo zitakuwa zinapata ' haki ' kutoka kwa Waamuzi ( Referees ) na isiwe kama jana ambapo ' Mwamuzi ' ametuuma na kutuumiza sana Sisi Liverpool FC hadi Rashford akapata ' Sifa ' ambazo hata hastahili kwani hajui mpira na kubakia ' Kubahatisha ' tu. Yule Refa wa jana angekuwa huku Tanzania Kwetu nadhani jana ile Mimi na Yeye tungegawana Majengo ya Serikali kwani alinipandisha sana hasira / jazba.
wazee wa ku-pess mnatabu kweli
 
Back
Top Bottom