Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ingawa kazi yake rasmi ilikuwa ni kusafisha na kutengeneza kucha mitaani, alifanya kila kazi iliyomjia mbele yake. Alibeba mizigo, alizoa taka majumbani mwa watu, alichota maji na kuwauzia wateja...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukitaka kufanya kazi utaanzia nini hasa, kazi ndio uombe ushauri au ushauri ndio uanze kazi.....unafanya nini??
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari Kwa mtazamo wangu naona isumba lounge chini ya DJ JD na fast Eddie ndio ina rock hapa town kwa vijana wa zamani.the place ni super classic
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jumatatu njema
2 Reactions
3 Replies
820 Views
Mwandishi: RM the brave faili namba 25 01 Hisia za kukumbatiwa na mtu pale kitandani zilinigutusha toka kwenye usingizi mzito,nilijigeuza kivivu na kukutana uso kwa uso na mpenzi wangu wa siku...
16 Reactions
175 Replies
36K Views
Habari wakuu Kuna bongo fleva ya kitambo kidogo ilikua na maneno yasemayo Fanani siku nikifa njooni wote,mnaonipenda msionipenda njooni wote×2 Mwenye anaeweza kuwa na hiyo nyimbo aipandishe...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Sio mbaya tujikumbushe enzi zetu sisi wahenga, nikijalibu kuangalia miserebuko na mapigo ya siku hizi za kalibuni tofauti ni kubwa sana, enzi zetu binti ilikuwa akivaa moka za kiume hata...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Mtunzi:Erick Shigongo Mawingu yalikuwa yametanda katika anga lote la jiji la Dar es Salaam, haikuwa kawaida kwani jiji hilo lilisifika kwa joto kali. Manyunyu ya mvua yalikuwa yakidondoka...
4 Reactions
26 Replies
9K Views
Kama nilivyo anza juu ni kujua nani anauwelewa na amewahi kupeleka nyimbo Redioni ili tupate kujua alitumia njia gani kupeleka
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KURUDI KWA MOZA :1 Moza alikuwa msichana mrembo ila aliishi maisha ya shida na kumfanya ajaribu kufanya kazi za ndani, na kwa bahati akapata kazi kwenye nyumba ya mama mmoja tajiri, aliyejulikana...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna movie inaitwa ninja mtoto imetoka aisee nikisanga bongo movie wameitendea haki mwenye nayo anitumie. Itafute youtube.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wote wa epl, tukuje hapa, hii ni thread yetu maalum kwa ajili ya kujua timu zetu tunazo shabikia, madhaifu ya kila timu na utani kwa wingi Napenda tusiusishe matusi wala majina ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
is a background song from the best series from Ghana "passion of the soul" ENJOY
2 Reactions
2 Replies
922 Views
SEHEMU YA 01: Mama alikaa uani akiosha vyombo. Aliponiangalia nikitoka chumbani kwangu aliacha kuosha, akaonesha dalili za kuzubaa huku akinikazia macho na kuniuliza… “We Tina una nini… mbona...
2 Reactions
53 Replies
93K Views
Mobile Service, ya Movies na Series kali kabisa. Huduma inakujia mpaka Mlangoni kwako. Unachotakiwa kufanya ni kupiga namba hizi :- +255627929637 / +255747246894. HUDUMA ITAKUFWATA ULIPO...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jina halisi la filamu ni “Adventure of Tarzan”. Washiriki wakuu katika filamu hii ni Hemant Birje (Tarzan) na Kimi Katkar (Rubi). Mtunzi na muongoaji wa filamu hii anaitwa Babbar Subash...
6 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari za usiku bandugu, poleni na majukumu ya kila siku na changamoto za hapa na pale, kikubwa uzima tu na kumshukuru Jah! Turudi kwenye title ya uzi hapo juu, hiyo ngoma iko na ujumbe wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nautafuta wimbo wa mwanamuziki TONY CURTIS unaitwa BOOM SHE BOOM. Naomba yeyote alienao anipe link yake ya mp3 au auweke hapa kwenye huu uzi. Naomba...
1 Reactions
2 Replies
952 Views
Producer anaesuka beat kali kuliko wote kwa sasa tanzania ni nani? Uzi tayari
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…