Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Habari wakuu
Kuna bongo fleva ya kitambo kidogo ilikua na maneno yasemayo
Fanani siku nikifa njooni wote,mnaonipenda msionipenda njooni wote×2
Mwenye anaeweza kuwa na hiyo nyimbo aipandishe Tafadhali tushaisaka sana kilingeni kwetu bila mafanikio
Kuna bongo fleva ya kitambo kidogo ilikua na maneno yasemayo
Fanani siku nikifa njooni wote,mnaonipenda msionipenda njooni wote×2
Mwenye anaeweza kuwa na hiyo nyimbo aipandishe Tafadhali tushaisaka sana kilingeni kwetu bila mafanikio