KALENGA THE GIANTS
Member
- Oct 5, 2019
- 5
- 2
Ukitaka kufanya kazi utaanzia nini hasa, kazi ndio uombe ushauri au ushauri ndio uanze kazi.....unafanya nini??
Karibu JF...Ukitaka kufanya kazi au ushauri unafanya nini??View attachment 1224695



ndio nini sasa?Yaani unaanza na nini hasa, utaanzia ushauri au kazi ukishindwa uombe ushauri?ndio nini sasa?
Mkuu embu sema majina yako kamili, weka picha yako ulio simama, na namba za simu ili uwe member kamiliYaani unaanza na nini hasa, utaanzia ushauri au kazi ukishindwa uombe ushauri?
Ahsante sana kakaKaribu JF...
Yaani picha ya kuanzia juu hadi chini au inayo onyesha nilivyoMkuu embu sema majina yako kamili, weka picha yako ulio simama, na namba za simu ili uwe member kamili
Samahani kwa usumbufu
Picha yako ukiwa umesimama mkuu inayoonekana juu adi chiniYaani picha ya kuanzia juu hadi chini au inayo onyesha nilivyo
OkayPicha yako ukiwa umesimama mkuu inayoonekana juu adi chini
Tuambie na majna yako mawiliOkay
Bwana Kalenga humu hatujianiki hivyo.
Giant wa nywele?Ukitaka kufanya kazi utaanzia nini hasa, kazi ndio uombe ushauri au ushauri ndio uanze kazi.....unafanya nini??View attachment 1224695
Humu siyo FB utake kila mtu akufahamuUkitaka kufanya kazi utaanzia nini hasa, kazi ndio uombe ushauri au ushauri ndio uanze kazi.....unafanya nini??View attachment 1224695
AiseeKijana wetu hapo keshakula mambo yetu yaleee,
hapo anajiona yupo mamtoni anachati na kina Jay Z
Mkuu embu sema majina yako kamili, weka picha yako ulio simama, na namba za simu ili uwe member kamili
Samahani kwa usumbufu
Okay
Tuambie na majna yako mawili
Sehemu unayoishi
Namba zako za simu