Wimbo una Unigeria mwingi, Tuzo ataendelea kuzisikia kwa Radio na kuziona Insta kwa wasanii wengine, Jamaa alichobakisha cha kujivunia ni Views Youtube
Ngoma mbovu mitusi kama kawaida yake
Kama...
Wakati mwingine baada ya kazi na shughuli huwa tunaketi na kutumia simu zetu kwa kuchati, kusikiliza music na vingne.
Wakulu kwa nia ya dhati naomba msaada kujuzwa ni game lipi ni zuri kwa ajili...
Wakuu kwema? (Hope kwema)
Kuna hii song Inaimba background kwenye hii video clip, please mwenye kuijua naomba anisaidie jina la hiyo song or share hapa nasi wote tuipate.
Pia Iko swahili version...
Kitabu cha Ujajusi wa Kiuchumi na Kidola cha Yericko Nyerere hakiyahusu mataifa Tu . Hata watu binafsi, makampuni etc wanaweza kutumia mbinu hizo.
Moja Kati ya mbinu anazo zielezea Bwana Yericko...
Katika pitapita zangu nmekutana na kionjo cha one of the song in #afroeast album. Aisee a new big artist in Africa and the world is introduced tarehe 14 mwezi Wa 3. Kondeboy anaenda Ku trend kama...
Kama unafatilia hii tamthilia kwenye kisimbuzi cha Azam bila shaka kuna jambo umejifunza kuhusu roho mbaya ya mabeberu na ukisiakia watu wanatamani kutawaliwa upya au kupenda kauli ya Trump kuwa...
baada ya 'Scorpion' ya mwaka 2018
Wakati wa mchezo wa Toronto Raptors na Phoenix Suns jumapili ya jana Drizzy alidokeza kuwa album yake mpya haitokuwa na nyimbo nyingi kama iliyopita (scorpion)...
Album mpya ya Justin Bieber 'Changes' imeshika namba moja kwenye chart za Billboard 200 na kuvunja rekodi aliyoiweka mkongwe Elvis Presley miaka 59 iliyopita
Justin Bieber ameweka rekodi ya kuwa...
Shalom watu wa Mungu,
Binafsi nimejaribu kufatilia muziki wetu wa hapa Tanzania ila kiukweli nimegundua kwamba wapo wasani wanapenda muziki ila muziki hauwapendi.
Sasa basi tushauriane, wewe...
Team Wilder please njoeni hapa tuanze kushangilia ushindi mapema maana huyu dogo Tyson feki alichonga sana sasa leo mwisho wa maneno, mikono ndiyo itakayoamua nani ni zaidi ya mwenzake.
Nyani...
Husika na kichwa hapo juu.[emoji14]
Hapa kuna Khaligraph, huku kuna Nyashiski, kule kuna Sauti Sol, pembeni kuna Hart the band, nyuma kuna Sol generation, katikati yupo mnyama Octopizzo, kulia...
Habari ya asubuhi wakuu,natafuta nakala za albamu hizi,TELEVISHENI YA MAISHA na BARABARA YA 13 ULYANKULU,
Mwenye nazo tafadhari naomba tuwasiliane at any cost,naitaji audio tu.
Amani kwenu.
Jamani nimesikia series ya Money heist ni nzuri sana lakini Me kwa kweli wanavyoongea kiispania nimeshindwa kuifatilia.. Je kuna Episodes zake ambazo wanaongea Kingerezaa???? Yani zimetafsiriwa...
kazi na muziki. namcheki tu boss wangu alivyonuna mi nakula ngoma. na kazi zinaenda yan full kuipa faida kampuni.
anaoujua huu wimbo atuambie kisa chake maana si kwa utamu huu si uimbaji si midundo.
[Verse 1]
See the way you love me
See the way you care for me
You carry my matter for your head oh
All: Ine me Obi nasom
Like a little baby
You watch over me
You no deh carry me de play ooo
All...
Habari zenu wakuu naimani my wazima. Nilikuwa naomba mwenye link ya video ya nyimbo hiyo hapo juu, maana nimehangaika kuitafuta mitandaoni na YouTube zipo fupifupi na Mimi nilikuwa naitaka ile ya...
Habari zenu wakuu natumai mu wazima wa afya.
Ombi langu kama hapo juu ni kwamba nilikuwa naulizia mahali ninapoweza kupata duka liuzwalo vitabu vya fasihi za kiswahili hasa za kipindi hicho maana...