Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna huu wimbo wa huyu Gwiji wa miondoko ya Sukus, ambaye amejipachika majina lukuki, mara sijui Mopao Mokonzi, Sakozi n.k. Huu wimbo nimeusikia ukichezwa jana kwenye Bar moja wakati...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Jamani sio kwa flavour hizi[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Kanyimbo katamu haka jamani Kwangu ndo song bora haswaa sauti lugha ya malkia daah utadhan sio mbongo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Binafsi Huwa napenda kutizama Documentaries tofauti hasa za nje Inawezekana kuna Wadau hapa Wana idea flani nzuri za Documentaries ambazo wangependa zitengenezwe siku moja Kama Una idea...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Wakuu naomba mwenye wimbo wa Beberu uliimbwa na Issa Matona anitumie, huwa unanikumbusha good moment sana, nimeutafuta YouTube haupo. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Ni kutoka kwa msanii mchanga anayeibukia hii ngoma imenifanya nikaguswaa mnooo watu wanatalent hatari hebu chekini tu daaah so amaizing sweet song hutojutia kuiwatch...
1 Reactions
7 Replies
949 Views
Ilikuwa kila siku saa 3:30 usiku siku za jumapili, Ijumba Maua Mzee kasri na mkewe Roda Ijumba Siti N.k Wengine humu muda huo tumewapakaka Oooh! I never missed Tausi Nasiki wengi wa waigizaji...
3 Reactions
51 Replies
14K Views
Wadau habari za maujukumu, kama kuna wapenzi wa Naigerian au African movies zenye stori nzuri iliyosimama na kuhamasisha kuangalia hata kuinuka kwenda toilet unashindwa tutajiane machimbo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtunzi: Washawasha Mambo zenu natumai muwazima au sio? Mi niko poa namshukuru Mungu,kwa jina naitwa Jeniffer nina miaka 23,leo nitawahadithia jinsi baba yangu wa kambo alivyonifumania nikijichua...
1 Reactions
7 Replies
47K Views
“Where do you live?” (unaishi wapi?) “Tanzania! You?” (Tanzania! Wewe?) “Oman.” “This is my first time to chart with an African girl, you look stunning...” (hii ni mara yangu ya kwanza...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
LOVE STORY: PENZI PENZINI SEHEMU YA 1. AGE : 18+ Alice ni msichana mrembo wa sura na umbo, ana rangi ya choculate, mrefu wa wastani na ana macho ya kusinzia, shavuni ana vitundu vidogo viwili...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
HADITHI: Msafara wa Mamba SEHEMU: 01 MTUNZI: Ally Mbetu ‘DR AMBE’ SIMU: 0713646500 Siku zote kwenye msafara wa mamba huwa haukosi kenge na mijusi. Msichana Herena bila kutegemea amejikuta...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
SEVEN DAYS IN HELL! (SIKU SABA KUZIMU)-1 Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku...
3 Reactions
9 Replies
5K Views
It's been a while hatujaonana wakuu. Najua 'tumemissiana' sana au sio wandugu? Haya sasa nimerudi tena na Riwaya ya NYUMA YAKO yenye mahadhu ya Kijasusi na kiitelijensia kama tulivyofanya kwenye...
11 Reactions
245 Replies
53K Views
RIWAYA: JASUSI KOMANDO NA; BAHATI MWAMBA. SIMU: 0758573660 1. BERBERA, SOMALIA (Somaliland). Alivuta pumzi zake kwa kasi kisha,alizishusha taratibu huku akiwa amefumba macho yake na kichwa...
8 Reactions
23 Replies
55K Views
KADI Hadithi fupi, kali: iliyoandikwa miaka zaidi ya karne moja iliyopita. Imefasiriwa kwa Kiswahili na Wako Mtiifu. Richadi Buruweli, wa New York, hataweza kamwe kuacha kujuta kwa nini lugha ya...
3 Reactions
12 Replies
7K Views
RIWAYA: KICHAA. Na: ZUBER R. MAVUGO. N0. 01. Njaa, iliendelea kulisumbua tumbo lake na kumpelekea kuanza kujipitisha maeneo ya ma'ntilie, huku akiamini kuwa shibe yake ipo mikononi mwao. "mmh...
4 Reactions
102 Replies
27K Views
HAPPY AT LAST (FURAHA HATIMAYE) Eric Shigongo “Umeolewa?” “Ndio!” “Mume wako yuko wapi?” “Dar es Salaam!” “Sijawahi kumwona hata mara moja akija hapa hospitali!” “Ana kazi nyingi sana ofisini...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
"JENEZA LA AJABU Mtunzi; HAKIKA JONATHAN Whatsup; 0629905923 ***SEHEMU YA 01**** Ikulu kwa mfalme ; "Siwezi kufa kirahisi namna hii, dunia tamu bwanaaa weeeh, mali zangu hizi nitamuachia nani...
1 Reactions
10 Replies
5K Views
MAJIRA ya jioni nikielekea nyumbani, macho yangu yaligota kwenye wallet iliyodondoshwa njiani. Niliiokota na kuifungua ndan ili kuona kama kuna vitambulisho vitakavyowezesha kupata namba za...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Huyu msimuliaji wa matukio katika hiki kipindi licha ya kusimulia na kuyapanga matukio vizuri na kwa ustadi mkubwa, ila anazidisha mno chumvi. Hebu tafuta simulizi zake kuhusu Bruce Lee halafu...
3 Reactions
16 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…