Kutokana na tukio lilotokea USA la mmarekani mweusi Floyd. Ebu fanya kupakua au kutafuta movie iitwayo GREEN BOOK ilitoka mwaka 2018 ni drama flani nzuri sana. Kama kuna ingine unaijua unaweza...
Saa hivi kuna ushindani mkubwa kwenye tasnia ya utangazaji. Japo vipaji vipo vingi mtaani vya kutangaza. Sema ukiweza kuji brand una kuwa na soko kubwa.
Ukisema unaacha kutangaza basi wengine...
Habari zenu wana jf
Nipende kukili kwamba sikua msikilizaji wa redio kwa mda mrefu sanaa lakini hii Corona imenifanya nisikilize redio mda mwingi kwakua nabaki nyumbani nikijilinda na haya...
Binafsi nilikuwa ndiyo mwaka wa kwanza pale chuo.... kitu kilikuwa hot hot ni hatareeee -
Wakati huo ukipanda daladala lazima ngoma hii ipigwe.......wewe ulikuwa mitaa ngani wakati kitu...
Nilikuwa nacheki Live Show music ya R. Kelly , nikaja kuangalia ya Jay Z , Beyonce, JLo & Eminem, nimegundua ni kwanini wenzetu wajaza sana kwenye show zao.
Mziki wa live ni mtamu jamani
Look in the eyes of the
Homeless man
Tell me what you see
In the eyes of a jobless man
Tell me what you see
What about the eyes
Of a prisoner
What do you see
Now you' ve seen it all
It is time to...
Nilipaa sasa natua kwenye,kwenye siri ya moyo na siri ya moyo anaijua mwenye,mwenye ujasiri wa kuitunza ,nafanya nachodhani ni sahihi kitachotokea ntajua mbele.
Kwa mfano nakwita mpenzi...
Taarifa zilizotufikia chini chini kutoka Netflix kwa wanaoishi huku mamtoni, director wa Money Heist wanampango wa kumpa jina actor mpya jina la mji mmoja wapo wa Tanzania ambaye atamuokoa Prof...
Kwenye nyumba moja ya familia inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu panatokea mauaji ya kutisha na familia kuchomwa moto uliotokana na umeme, kwanini?
Muda hayo yanatokea upande mwingine kuna...
Habari za asubuhi wanajamvi
Nahisi kichwa cha habari kinaeleweka, kutokana na upweke nilionao nipo mbali na bi mdashi wangu naomba wanajamvi kunitumia zile nyimbo pendwa za mahaba kama za akina...
Mzuka wanajamvi
Ni wapi nitapata records za ngoma za asili kwenye kanda CD na kadhalika ili nipate burudani ya kipekee nikiwa nimepumzika naendesha gari n. K hasa midundo ya Kizaramo, kimakonde...
Ili muziki wetu uzidi kukua tunahitaji media kubwa zenye entertainment show kubwa za kuweza kutengeneza propaganda and all that, New York hiphop inapewa sana nguvu na ukubwa wa Hot 97 na Power...
Toka mwanzo wa kipindi mpaka sasa ni habari na miziki ya wasanii kutoka WCB tu, sisi wapenda burudani hasa tunaopenda wasanii mbalimbali mnatuboa sana kama si kutukera kunakotukuka. Hivi WCB...
Kuna mambo ambayo kwa uzoefu wangu wa muda mrefu katika tasnia hii, ninaweza kusema yangesaidia sana kuunda bendi bora. Kwanza lazima kuwa na sababu za msingi kwanini unataka kutengeneza bendi...
Habari za wakati huu ndugu zangu?
Mimi ni mpenda movies especially animations. Nimeangalia movies za kategory nyingi kama:
Horrors
Adventures
Racings
Actions
Comedy, na category zingine za movies...