kila siku natamani kwenda hii sehemu naiaikia saana, mwisho wa mwezi huu Mshahara ukitoka nataka nizame huko, naomba mwenye kujua napanda gari za wapi nashuka wapi, jinsi ya kufika naomba kujuzwa...
Habari!
Kukuza ubora wa league pia hata media zinachangia nafasi kubwa sana.
Azam media mmekuwa na poster hazina mvuto, maana ilitakiwa hata mtu ambaye hafatilii mpira akikutana na poster nzuri...
Hello,
If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs
Do you know other good apps?
IMEANDIKWA NA : RICHARD MWAMBE
*********************************************************************************
Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho
Sehemu Ya Kwanza (1)
Maisha yanayotuzunguka yana...
" Muda si Mrefu @rayvanny anenda kuanzisha Lebo yake . Studio yake ndio itakua Studio Kubwa zaidi hapa Tanzania ..
Hakuna anaezuiwa kuanzisha Lebo ndani ya @Wcbwasafi_ , hata Drake ana Lebo yake...
Hello Everyone,
My name is Brian White love to watch movies, recently watched Man in Black 3 movie at my home with my friends. This was so interesting movie, i enjoyed it a lot.
Here you...
TURUFU YA MWISHO
Aliporejea Tanzania baada ya kuwa nje kwa miaka saba, alikuwa na matumaini makubwa ya kumkuta mdogo wake Celine akiendelea vyema na masomo. Hakuamini baada ya kugundua...
Hii ni series nzuri mno kama we ni mpenzi wa historical (Sageuk).
Plot
Story inaongelea maisha ya Mwanzilishi wa Taifa la Joseon (Korea). Jang Do Jeon msomi na mwanaharakati katika utawala wa...
Utenzi wa Waliobaki. Subirini huko huko Mlioenda
Sisi tuliobaki, kura tutahakiki
Wizi hatutaki, uhuni hatubariki
Kura ni yetu haki, mashetani hatuwataki
Mitandao tutaitumia, habari kuwatumia...
Habari za humu Wanajukwaa
Binafsi natamani sana kujifunzaa gitaa.
But nina maswali kidogo kuhusu hiki kifaa kwa wataalamu ambao wanaujuzi nalo
1. Naweza nkatumia muda gani kujifunza gitaa?
2...
Kwa mujibu wa METACRITIC hii movie ndio Movie bora dunian mwaka 2019,na pia ikishika nafasi ya 42 katika movie bora katika Muongo uliopita.
Mtandao maarufu wa Unaohusika na ku rate movies duniani...
ALI KIBA AOMBA MWALIMU NYERERE ATENGENEZEWE ‘DOCUMENTARY’
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ali Kiba amemuomba Rais Magufuli atenge bajeti ya fedha zitakazotumika kutengeneza ‘documentary’ ya...
'A Cure For Wellness'
Lockhart anakutana na baadhi ya maboss zake kujadili barua iliyotumwa na Boss wao (CEO) Pembroke kwamba hatarudi tena na wasimtafute. Kitu kinachowafanya wawe na mashaka...
Hata ingekuwa wewe, kwa yule mwenye nyumba ungelianzisha valangati la nguvu. Sijui hata nianzae wapi kukuambia siku uzalendo uliponishinda, lakini niliamua "kumnywea" mpaka "nilipopendeza"...
Wakuu kwanza poleni na majukumu.
Naombeni mnitajie zile ngoma kali za taratibu(slow kabisa) Mfano Ed Sheeran__Thinking out loud
Enrique Iglesias_Hero
Mnaozifahamu shusheni Playlist hapa...zile...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema taarifa za kuufungia wimbo wa ‘One time’ wa Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee si za kweli.
BASATA wamesema walimuita kumpa maelekezo msanii huyo...
SEHEMU YA KWANZA
Kanisa lilibaki na mshtuko mkubwa waumini nao hawakuamini tukio waliloliona mbele ya macho yao. Padri alibaki akiwa amezubaa hakujua nini kinaendelea kanisani hapo
pindi Laurance...