Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

VERSE 1 (Aaaaaaaaaaaah) Naamka asubuhi ni kuchwiri tena mapema Nautoa mkeka sakafuni kisha naukunja vyema Nawaza nitakula nini mentali kisha naguna Naanza kujikongoja kichwa chini mikono nyuma...
4 Reactions
10 Replies
6K Views
kila siku natamani kwenda hii sehemu naiaikia saana, mwisho wa mwezi huu Mshahara ukitoka nataka nizame huko, naomba mwenye kujua napanda gari za wapi nashuka wapi, jinsi ya kufika naomba kujuzwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kifo ni jambo linaloumiza sana hasa pale unapofiwa na mtu wako wa karibu. Hebu msikilize huyu dogo alivyomuimbia rafiki yake baada ya kufa.
2 Reactions
2 Replies
954 Views
Habari! Kukuza ubora wa league pia hata media zinachangia nafasi kubwa sana. Azam media mmekuwa na poster hazina mvuto, maana ilitakiwa hata mtu ambaye hafatilii mpira akikutana na poster nzuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello, If you want an application to be able to watch sports channels in Brazil, especially football. You can download playtv geh at TechBigs Do you know other good apps?
0 Reactions
1 Replies
982 Views
IMEANDIKWA NA : RICHARD MWAMBE ********************************************************************************* Simulizi : Kitanzi Cha Mwisho Sehemu Ya Kwanza (1) Maisha yanayotuzunguka yana...
6 Reactions
50 Replies
24K Views
" Muda si Mrefu @rayvanny anenda kuanzisha Lebo yake . Studio yake ndio itakua Studio Kubwa zaidi hapa Tanzania .. Hakuna anaezuiwa kuanzisha Lebo ndani ya @Wcbwasafi_ , hata Drake ana Lebo yake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello Everyone, My name is Brian White love to watch movies, recently watched Man in Black 3 movie at my home with my friends. This was so interesting movie, i enjoyed it a lot. Here you...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
TURUFU YA MWISHO Aliporejea Tanzania baada ya kuwa nje kwa miaka saba, alikuwa na matumaini makubwa ya kumkuta mdogo wake Celine akiendelea vyema na masomo. Hakuamini baada ya kugundua...
4 Reactions
24 Replies
49K Views
Hii ni series nzuri mno kama we ni mpenzi wa historical (Sageuk). Plot Story inaongelea maisha ya Mwanzilishi wa Taifa la Joseon (Korea). Jang Do Jeon msomi na mwanaharakati katika utawala wa...
4 Reactions
36 Replies
5K Views
Utenzi wa Waliobaki. Subirini huko huko Mlioenda Sisi tuliobaki, kura tutahakiki Wizi hatutaki, uhuni hatubariki Kura ni yetu haki, mashetani hatuwataki Mitandao tutaitumia, habari kuwatumia...
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Habari za humu Wanajukwaa Binafsi natamani sana kujifunzaa gitaa. But nina maswali kidogo kuhusu hiki kifaa kwa wataalamu ambao wanaujuzi nalo 1. Naweza nkatumia muda gani kujifunza gitaa? 2...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa METACRITIC hii movie ndio Movie bora dunian mwaka 2019,na pia ikishika nafasi ya 42 katika movie bora katika Muongo uliopita. Mtandao maarufu wa Unaohusika na ku rate movies duniani...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama kichwa cha Habari kinavyotanabaisha hapo juu mimi ni hizi: 1. Lone Survival 2. 24hrs 3. The Unit 4. 5 Je, wewe?
1 Reactions
4 Replies
980 Views
ALI KIBA AOMBA MWALIMU NYERERE ATENGENEZEWE ‘DOCUMENTARY’ Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ali Kiba amemuomba Rais Magufuli atenge bajeti ya fedha zitakazotumika kutengeneza ‘documentary’ ya...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
'A Cure For Wellness' Lockhart anakutana na baadhi ya maboss zake kujadili barua iliyotumwa na Boss wao (CEO) Pembroke kwamba hatarudi tena na wasimtafute. Kitu kinachowafanya wawe na mashaka...
0 Reactions
2 Replies
991 Views
Hata ingekuwa wewe, kwa yule mwenye nyumba ungelianzisha valangati la nguvu. Sijui hata nianzae wapi kukuambia siku uzalendo uliponishinda, lakini niliamua "kumnywea" mpaka "nilipopendeza"...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kwanza poleni na majukumu. Naombeni mnitajie zile ngoma kali za taratibu(slow kabisa) Mfano Ed Sheeran__Thinking out loud Enrique Iglesias_Hero Mnaozifahamu shusheni Playlist hapa...zile...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema taarifa za kuufungia wimbo wa ‘One time’ wa Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee si za kweli. BASATA wamesema walimuita kumpa maelekezo msanii huyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
SEHEMU YA KWANZA Kanisa lilibaki na mshtuko mkubwa waumini nao hawakuamini tukio waliloliona mbele ya macho yao. Padri alibaki akiwa amezubaa hakujua nini kinaendelea kanisani hapo pindi Laurance...
2 Reactions
7 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…