Kujifunza Gitaa

Kujifunza Gitaa

p2k

Senior Member
Joined
Sep 15, 2019
Posts
110
Reaction score
263
Habari za humu Wanajukwaa

Binafsi natamani sana kujifunzaa gitaa.

But nina maswali kidogo kuhusu hiki kifaa kwa wataalamu ambao wanaujuzi nalo

1. Naweza nkatumia muda gani kujifunza gitaa?

2. Acoustic gitaa bei gani kwa sasa? ili kabla sjatafuta mwalimu niwe nalo tayari

3. Ni njia gani bora ya kujifunza gitaa??

MAOMBI.

Kama mtu ana PDF au kitabu ya masomo ya gitaa naomba aweke hapa atabarikiwa na MUNGU wetu
 
Nunua then uwe unavuta manyuzi hovyo hovyo mlio utatoka tu Chief!

Sent using Jamii Forums mobile app
brother nmejiulza kwann umejibu hvyo nmekosa jibu....nmetamani nkuongelee ovyo but nmeona ntaukosea adabu uzi huu


anyway .....kaka nmemaansha hcho nlichoandika hpo... kiu yngu ni kupata msaada wa dhati kabisa.


jirekebishe my brother its not fair.
 
Hahahaaah! Oya monde arabe umemuudhi mwanetu mpya humu p2k, mwombe msamaha....
Nawe P2k karibu sana jf, pokea kila kinachokujia ila we mwenyewe ndo uwe mwepesi wa kuchambua upi mchele lipi ni chuya, ukichukulia vitu personal utaumia bureee

Anyway, Ngoja waje (in smart119 tone)
 
  • Thanks
Reactions: p2k
Download tu vitabu vipo google utapata guitar tabs guitar chorda na nk kujifunza muziki ni uwanja mpana sana so hakuna limit ya muda ni juhudi yako pia you can watch tutorials from youtube anza na zile za begginner kabisa kuhusu bei nakaridia guitar angalau lenye ubora utapata kwa 500k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Download tu vitabu vipo google utapata guitar tabs guitar chorda na nk kujifunza muziki ni uwanja mpana sana so hakuna limit ya muda ni juhudi yako pia you can watch tutorials from youtube anza na zile za begginner kabisa kuhusu bei nakaridia guitar angalau lenye ubora utapata kwa 500k

Sent using Jamii Forums mobile app
blessed brother....and actually am not hesitate in your PM to come for more direction about guitar.
 
Back
Top Bottom