UTATA: Mbaraka Mwinshehe vs Marijani Rajab!!

UTATA: Mbaraka Mwinshehe vs Marijani Rajab!!

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,822
Reaction score
5,415
Habari zenu
Mzee wenu nimekaa hapa nasikiliza hawa vijana wenzangu wa enzi hizo..si mnajua tena weekend hii. Ila kiukweli nimeshindwa kung'amua kabisa kati ya hawa wakongwe wa huu muziki ni nani alikuwa anamzidi mwenzie.

Yaani nimeumiza kichwa peke yangu hapa nikaona ni bora ni washirikieshe na ninyi wenzangu jukwaani...

Ni nani mkali hapo??
MARIJANI RAJABU VS MBARAKA MWINSHEHE
 
habari zenu
Mzee wenu nimekaa hapa nasikiliza hawa vijana wenzangu wa enzi hizo..si mnajua ten weekend hii..ila kiukweli nimeshindwa kungamua kabisa kati ya hawa wakongwe wa huu muziki ni nani alikuwa anamzidi mwenzie

Yaani nimeumiza kichwa peke yangu hapa nikaona ni bora ni washirikieshe na ninyi wenzangu jukwaani...

Ni nani mkali hapo??
MARIJANI RAJABU VS MBARAKA MWINSHEHE
Mbaraka Mwinshehe ni kizazi kingine kabisa, yeye anafananishwa na kina Maalim Gurumo, Juma Kilaza, n.k. Yaani ni sawa na kumfananisha Lady Jay Dee na Zuchu, Zuchu akiwa ni Marijani. Umeelewa?
 
Namsaka mbaya wangu,,,,,,,,,


Anayetugombanisha,,,,,,,,,


Siku nikimuona,,,,,,,,,,,,


dunia itawaka moto..,,,,,,,,,,


Binadamu hawana wema wala shukurani,,,,

Ukiwa Mwana masikini watakusema na watakudhau,,,,,,,


Ukiwa unajimudu kidogo watasema unaringa,,,,,,,, ,


Eehh mama maria,,,,

hebu punguza hasira,,,

namsaka mbaya wangu,,,

anayetugombanisha,,,,

Siku nikimuonaa,,,

dunia itawaka moto,,


aisee!!

Marijani mwana wa rajabu ni hatari..

Hicho ni kati ya vibao vyake matata kama ..

--Mayasa
-- bwana mashaka.
--mama maria.
__salama
---Zuwena.
--ukewenza.
--Mwana meka.
--masuod.
--nk.
 
Mbaraka Mwinshehe ni kizazi kingine kabisa, yeye anafananishwa na kina Maalim Gurumo, Juma Kilaza, n.k. Yaani ni sawa na kumfananisha Lady Jay Dee na Zuchu, Zuchu akiwa ni Marijani. Umeelewa?
Mbaraka Mwinshehe ni kizazi kingine kabisa, yeye anafananishwa na kina Maalim Gurumo, Juma Kilaza, n.k. Yaani ni sawa na kumfananisha Lady Jay Dee na Zuchu, Zuchu akiwa ni Marijani. Umeelewa?
Sijakuelewa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom