Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,773
- 24,209
Wakuu kama kawaida Jana tumeshuhudia miamba mitatu ikiipeperusha bendera ya Tanzania kwenye tuzo hizi kubwa kabisa, miamba hii ni Rayvany mwakyusa, diamond platnumz na dada yetu mzee wa ninogeshe ....sasa swami ni kwamba mwamba wa chitoholi aka harmonize anafanya juhudi kubwa sana kimziki hapa Afrika lkn tuzo ni ngumu sana kupata kwa mfano ......mpaka sasa hv ana tuzo moja ya kimataifa aliyoipata kwa wimbo wa BADO...Je tatzo ni nin wakuu?