COLLABO 10 KALI ALIZOWAHI KUSHIRiKISHWA CHRIS BROWN NA ZIKAWA MOTO HASWA.
1.NICK MINAJ FT CHRIS BROWN__RIGHT BY SIDE
2.RITA ORA FT CHRIS BROWN__BODY ON ME.
3.RICK ROSE FT CHRIS BROWN__SORRY...
Huyu mtoto leo ametekwa na watu waliotumwa na mjomba wake. Anapelekwa kuuzwa biashara ya ngono. Ila kwa upande mwingine anko inaelekea ataumbuka tena baada ya jaribio la kwanza kutaka kumuua...
Ujue kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza vizuri mashairi yake unaona kabisa mwimbaji alikuwa anakufatilia hivi/yaani kila kitu kinagusa maisha na matukio yako kadhaa.
Mimi wimbo wa Mwana FA ft Jay...
Technology inaenda kwa kasi sanaa..
Naomba niongee kitu kuhusu wapenzi wa movie na Netflix,
Nimekuwa mtumiaji wa netfllix almost 2 years now!!
Japo sio mtumiaji sana lakini, kwa sababu nina Apps...
Habari za leo wakuu.
Bado naendelea kuimba japo sijaanza ku record official kutokana na mazingira kutokuwa rafiki.
Lakini malengo yangu nataka kushiriki international talents.
Nipeni njia...
Habari wanajamvi, kwa wapenzi wa kuogelea na kubarizi upepo wa ufukwenu karibuni tupeane location zenye kuvutia kwa ajili ya mapumziko hasa hizi Holiday seasons.
Tunakaribishwa kushare Swimming...
Kila Mara nisikiapo wimbo huu wa mahadhi ya ki Swedish kutoka kwa Abba huwa nakukumbuka wewe. Umetutoka miaka kadhaa nyuma kipindi Kama hiki.
Ulifanya utoto wangu kuwa remarkable. I love U...
Story inaanza belle 9 katendwa na mpenzi wake aliyekuwa anampenda kiasi cha kutamani kufa pamoja nae,
Sasa wakati anaugulia maumivu ya kutendwa tena kutendwa kwenyewe katendwa kwa kusalitiwa na...
Kam kichwa kinavodai tupia movie ambalo huez kuchoka kuiangalia kwa jinsi akili nying zilivotumika ndani ake...(INTELLIGENCE)
Nb; movie yangu ni VANTAGE POINT... hii inahusu njama za kumuua rais...
Bora ya Maboya wataelea kwenye maji ila kwa hizi mtapiga deki nyumbani kwa watangaaa zaajiii Ukisikia sound nzuri ujue ni mgeni sio wahapahapa,Mademu mnawapitia makwao hamuwangojei cd za show...
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay atakosa mechi zijazo, zote huko Old Trafford, dhidi ya Aston Villa (Premier League), Manchester City (nusu fainali ya Kombe la Carabao) na Watford (Kombe la...
Habari wadau!
Kwanza naomba kukiri kwa kinywa changu kwamba mimi ni mbaguzi sababu hata rais wa Marekani bwana Donald Trump alishawai kukiri kwamba yeye ni mbaguzi ila kuna watu ni wabaguzi zaidi...
Daha maskini ya Mungu, ndugu zangu wana dansi unajua hata bongo fleva na bongo movie hawapendani tena huwa wanalogana kabisa lakini wakiwa na shida fulani au wakiona hatari inawakabili huwa...
Habarin wadau
Natafuta hotel au sehemu nzur yenye swimming pools za kuogelea .micheza nk ili nikale huko new year mchana kesho nishinde huko adi usiku
Naish GONGO LA MBOTO tajen sehemu...
Habarin wadau
Natafuta hotel au sehemu nzur yenye swimming pools za kuogelea .micheza nk ili nikale huko new year mchana kesho nishinde huko adi usiku
Naish GONGO LA MBOTO tajen sehemu...
Kwema Wadau wangu mko poa, Natumaini wazima wote,
Oke. Wakuu mi naomba kuelezwa kama kuna mmoja wapo alishaona hizi movie sijui hiyo ya Will Smith ni series ata sielewi, kiufupi nijue zinahusu...
Wadau nimejarbu kufatilia nyimbo za mwaka mpya
zenye sound ya joy Flan hiviii, same as Abba and joy to the wold, iwe sweety,joyful&sound
Drop yours please[emoji144]
Jana usiku ilikuwa siku ya huzuni kwa mashabiki wa Twanga pepeta na wa dansi kiujumla. Inajulikana kwamba mziki wa dansi unapitia kwenye hali ngumu ushachukuliwa poa sana na media hata na serikali...