Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

COLLABO 10 KALI ALIZOWAHI KUSHIRiKISHWA CHRIS BROWN NA ZIKAWA MOTO HASWA. 1.NICK MINAJ FT CHRIS BROWN__RIGHT BY SIDE 2.RITA ORA FT CHRIS BROWN__BODY ON ME. 3.RICK ROSE FT CHRIS BROWN__SORRY...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Huyu mtoto leo ametekwa na watu waliotumwa na mjomba wake. Anapelekwa kuuzwa biashara ya ngono. Ila kwa upande mwingine anko inaelekea ataumbuka tena baada ya jaribio la kwanza kutaka kumuua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Vigezo. 1. Ubora wa kazi zao. 2. Ubora ktk Sanaa ya mapigano 3.Umri. 4.Mkwanja 5. Umaarufu.
1 Reactions
16 Replies
5K Views
Ujue kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza vizuri mashairi yake unaona kabisa mwimbaji alikuwa anakufatilia hivi/yaani kila kitu kinagusa maisha na matukio yako kadhaa. Mimi wimbo wa Mwana FA ft Jay...
6 Reactions
265 Replies
28K Views
Technology inaenda kwa kasi sanaa.. Naomba niongee kitu kuhusu wapenzi wa movie na Netflix, Nimekuwa mtumiaji wa netfllix almost 2 years now!! Japo sio mtumiaji sana lakini, kwa sababu nina Apps...
5 Reactions
17 Replies
8K Views
Habari za leo wakuu. Bado naendelea kuimba japo sijaanza ku record official kutokana na mazingira kutokuwa rafiki. Lakini malengo yangu nataka kushiriki international talents. Nipeni njia...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, kwa wapenzi wa kuogelea na kubarizi upepo wa ufukwenu karibuni tupeane location zenye kuvutia kwa ajili ya mapumziko hasa hizi Holiday seasons. Tunakaribishwa kushare Swimming...
1 Reactions
20 Replies
13K Views
Kila Mara nisikiapo wimbo huu wa mahadhi ya ki Swedish kutoka kwa Abba huwa nakukumbuka wewe. Umetutoka miaka kadhaa nyuma kipindi Kama hiki. Ulifanya utoto wangu kuwa remarkable. I love U...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Story inaanza belle 9 katendwa na mpenzi wake aliyekuwa anampenda kiasi cha kutamani kufa pamoja nae, Sasa wakati anaugulia maumivu ya kutendwa tena kutendwa kwenyewe katendwa kwa kusalitiwa na...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za Leo wadau, Samaani hivi ile movie tuliyokuwa tukiita MIKASA MENDE jina lake halisi inaitwaje?
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Kam kichwa kinavodai tupia movie ambalo huez kuchoka kuiangalia kwa jinsi akili nying zilivotumika ndani ake...(INTELLIGENCE) Nb; movie yangu ni VANTAGE POINT... hii inahusu njama za kumuua rais...
16 Reactions
127 Replies
21K Views
Bora ya Maboya wataelea kwenye maji ila kwa hizi mtapiga deki nyumbani kwa watangaaa zaajiii Ukisikia sound nzuri ujue ni mgeni sio wahapahapa,Mademu mnawapitia makwao hamuwangojei cd za show...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay atakosa mechi zijazo, zote huko Old Trafford, dhidi ya Aston Villa (Premier League), Manchester City (nusu fainali ya Kombe la Carabao) na Watford (Kombe la...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wadau! Kwanza naomba kukiri kwa kinywa changu kwamba mimi ni mbaguzi sababu hata rais wa Marekani bwana Donald Trump alishawai kukiri kwamba yeye ni mbaguzi ila kuna watu ni wabaguzi zaidi...
5 Reactions
52 Replies
5K Views
Daha maskini ya Mungu, ndugu zangu wana dansi unajua hata bongo fleva na bongo movie hawapendani tena huwa wanalogana kabisa lakini wakiwa na shida fulani au wakiona hatari inawakabili huwa...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarin wadau Natafuta hotel au sehemu nzur yenye swimming pools za kuogelea .micheza nk ili nikale huko new year mchana kesho nishinde huko adi usiku Naish GONGO LA MBOTO tajen sehemu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarin wadau Natafuta hotel au sehemu nzur yenye swimming pools za kuogelea .micheza nk ili nikale huko new year mchana kesho nishinde huko adi usiku Naish GONGO LA MBOTO tajen sehemu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwema Wadau wangu mko poa, Natumaini wazima wote, Oke. Wakuu mi naomba kuelezwa kama kuna mmoja wapo alishaona hizi movie sijui hiyo ya Will Smith ni series ata sielewi, kiufupi nijue zinahusu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau nimejarbu kufatilia nyimbo za mwaka mpya zenye sound ya joy Flan hiviii, same as Abba and joy to the wold, iwe sweety,joyful&sound Drop yours please[emoji144]
0 Reactions
1 Replies
798 Views
Jana usiku ilikuwa siku ya huzuni kwa mashabiki wa Twanga pepeta na wa dansi kiujumla. Inajulikana kwamba mziki wa dansi unapitia kwenye hali ngumu ushachukuliwa poa sana na media hata na serikali...
5 Reactions
30 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…