Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Huyu mtoto leo ametekwa na watu waliotumwa na mjomba wake. Anapelekwa kuuzwa biashara ya ngono. Ila kwa upande mwingine anko inaelekea ataumbuka tena baada ya jaribio la kwanza kutaka kumuua kufeli na mtoto akamhifadhi, katika upande mwingine shemej mtu anaelekea kujua ujinga wote wa mume wa dadake huku shemeji akijitahidi kuuficha. Ila kosa la mwaka ni alipoenda kujisalimisha kwa shemeji yake. Na wakati huu akinusurika ajirekebishe la sivyo jela inamhusu.