Tujikumbushe movie za Kihindi zilizotubamba enzi hizo. Aishwarya Rai, she is called the most beautiful woman in the world
WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUFAHAMISHWA FILAMU HIZI
Habari ya weekend...
Wadau wa mobile and pc flight games natumaini mkoa poa. Nataka kufahamu kutoka kwenu ni flight games zipi kwako ni bora .tupeane uzoefu.
Kwangu mimi kuna
1. Realflight simulator
2. Airline...
Ahitaji kumix sebene na gospo au kuvaa kama muimba singeli,
ila muziki flani tulivu wenye ubunifu bil kukimbia nadharia nzima ya uzima
https://youtu.be/gtVvOnjovEs?si=c1KaQ_JVY1XQbppI
Salam wakuu,
Katika mziki unaonipa comfort na peace of mind ni mziki aina ya riddim au sweet reggae. Ngoma kama comfort zone ya busy signal, wakali wakina morgan heritage, tittus riley, etc hua...
CHAPTER 1
ILIKUWA ni asubuhi tulivu, anga lilifunikwa na mawingu mepesi baada ya wiki nzima ya mvua za vuli . Angalau sasa wakazi wa mji waliweza kutoka majumbani mwao kwenda makazini na maeneo...
Kiukweli ukiangalia wale waandishi wa habari unaona kama sasa industry ya habari nchini imevamiwa, moja wanaonyesha hasira za wazi baada ya dogo pateni kuonyesha wazi kujali privacy zake.
Jinsi...
Hii ni simulizi ya kijana Musa, kijana ambaye ametafuta kazi kwa miaka mingi bila kupata, katika matembezi yake, Musa anakutana na Bibi ambaye anamshauri aende kuombewa katika kanisa, anakwenda...
"Mlango wa Ajabu"
Katika kijiji cha Mwembeni, kulikuwepo na nyumba moja ya zamani iliyokuwa imejengwa kwa mawe meusi, katikati ya shamba la miembe. Hakuna aliyekaribia nyumba hiyo, hata watoto wa...
Jirani Yangu wa kule Goba Hakuwa Mtu wa Kawaida.
Sasa ni miaka miwili imepita, nimehamia na ninaishi kwengine, lakini yale ya kule Goba nayakumbuka vema kana kwamba yametokea jana yake, na huenda...
Simulizi: My Family
Sehemu ya kwanza
Mtunzi: kijana Masikini
UTANGULIZI.
Wamakonde tunasema "nnume alage mmahe anyete"
Yaani "Mwanaume apambane hadi kukonda ili mwanamke anenepe"
Simulizi hii...
Nawasalimu kwa jina la Chama pendwa.
Kabla sijataja kumi bora yangu ya nyimbo za muziki wa Congo (Kinshasa & Brazaville) ni lazima tukubali tu kwamba bado rhumba na dansi ni miziki inayopendwa...
Kuna magwiji wawili wa muziki wa kisasa kwa upande wa wanawake Tanzania—wanadada Rehema Chalamila (Ray C) na Lady Jaydee (Komando).
Kwa kuangalia melody, sauti, mashairi, pamoja na nyimbo...
Wakuu!
Baada ya msanii chipukizi wa Singeli, Dogo Patten, kususia mahojiano kwenye kipindi cha Gen Talk cha Mjini FM, gumzo limeibuka mitandaoni likihusisha watangazaji na mashabiki. Tukio hilo...
MY LAST RIDE; SAFARI YANGU YA MWISHO.
Mtunzi; Robert Heriel
+255693322300
Episode 01.
Sikumaanisha kuua! Wala sikuwahi kuwaza kuwa kuna siku nitakuja kuua mtu. Kwa...
Zilitukuza enzi hizo mimi na jamaa zangu tulikuwa tuna ratiba nzima. Ilikuwa kila siku za juma3 had ijumaa kuanzia saa 15:00H - 18:00H channel 10, tv Mozambique, TIM, ITV na Agape TV walitupa...
Nimetazama hii movie 🎥 🍿, dah najuta mzee kupoteza muda wangu.
Kwanza nilipoona tu director ameshirikisha wahindi nikaweka doubt ila nikajikaza kwasababu najua star wa movie ni mzee mzima Liam...
Diamond Platnumz, msanii namba moja wa muziki Afrika Mashariki na mwanzilishi wa lebo ya WCB Wasafi, amethibitisha mara nyingi kuwa ana "jicho la kipekee" linapokuja kwenye kugundua na kukuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.