Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Tujikumbushe movie za Kihindi zilizotubamba enzi hizo. Aishwarya Rai, she is called the most beautiful woman in the world WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUFAHAMISHWA FILAMU HIZI Habari ya weekend...
2 Reactions
454 Replies
177K Views
Kama nilivyowahi kusema Singeli ni art ya vinanda ..hebu cheki watoto walivyoua hapa.
0 Reactions
4 Replies
234 Views
Wadau wa mobile and pc flight games natumaini mkoa poa. Nataka kufahamu kutoka kwenu ni flight games zipi kwako ni bora .tupeane uzoefu. Kwangu mimi kuna 1. Realflight simulator 2. Airline...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ahitaji kumix sebene na gospo au kuvaa kama muimba singeli, ila muziki flani tulivu wenye ubunifu bil kukimbia nadharia nzima ya uzima https://youtu.be/gtVvOnjovEs?si=c1KaQ_JVY1XQbppI
1 Reactions
3 Replies
343 Views
Salam wakuu, Katika mziki unaonipa comfort na peace of mind ni mziki aina ya riddim au sweet reggae. Ngoma kama comfort zone ya busy signal, wakali wakina morgan heritage, tittus riley, etc hua...
10 Reactions
128 Replies
16K Views
CHAPTER 1 ILIKUWA ni asubuhi tulivu, anga lilifunikwa na mawingu mepesi baada ya wiki nzima ya mvua za vuli . Angalau sasa wakazi wa mji waliweza kutoka majumbani mwao kwenda makazini na maeneo...
3 Reactions
20 Replies
35K Views
https://youtu.be/coIjlWAzRxs?list=RDvhuiaZpvbn0
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Kiukweli ukiangalia wale waandishi wa habari unaona kama sasa industry ya habari nchini imevamiwa, moja wanaonyesha hasira za wazi baada ya dogo pateni kuonyesha wazi kujali privacy zake. Jinsi...
10 Reactions
77 Replies
3K Views
Hii ni simulizi ya kijana Musa, kijana ambaye ametafuta kazi kwa miaka mingi bila kupata, katika matembezi yake, Musa anakutana na Bibi ambaye anamshauri aende kuombewa katika kanisa, anakwenda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
"Mlango wa Ajabu" Katika kijiji cha Mwembeni, kulikuwepo na nyumba moja ya zamani iliyokuwa imejengwa kwa mawe meusi, katikati ya shamba la miembe. Hakuna aliyekaribia nyumba hiyo, hata watoto wa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Jirani Yangu wa kule Goba Hakuwa Mtu wa Kawaida. Sasa ni miaka miwili imepita, nimehamia na ninaishi kwengine, lakini yale ya kule Goba nayakumbuka vema kana kwamba yametokea jana yake, na huenda...
134 Reactions
3K Replies
746K Views
Simulizi: My Family Sehemu ya kwanza Mtunzi: kijana Masikini UTANGULIZI. Wamakonde tunasema "nnume alage mmahe anyete" Yaani "Mwanaume apambane hadi kukonda ili mwanamke anenepe" Simulizi hii...
9 Reactions
77 Replies
11K Views
Nawasalimu kwa jina la Chama pendwa. Kabla sijataja kumi bora yangu ya nyimbo za muziki wa Congo (Kinshasa & Brazaville) ni lazima tukubali tu kwamba bado rhumba na dansi ni miziki inayopendwa...
34 Reactions
188 Replies
29K Views
Kuna magwiji wawili wa muziki wa kisasa kwa upande wa wanawake Tanzania—wanadada Rehema Chalamila (Ray C) na Lady Jaydee (Komando). Kwa kuangalia melody, sauti, mashairi, pamoja na nyimbo...
0 Reactions
25 Replies
923 Views
Wakuu! Baada ya msanii chipukizi wa Singeli, Dogo Patten, kususia mahojiano kwenye kipindi cha Gen Talk cha Mjini FM, gumzo limeibuka mitandaoni likihusisha watangazaji na mashabiki. Tukio hilo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
MY LAST RIDE; SAFARI YANGU YA MWISHO. Mtunzi; Robert Heriel +255693322300 Episode 01. Sikumaanisha kuua! Wala sikuwahi kuwaza kuwa kuna siku nitakuja kuua mtu. Kwa...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Zilitukuza enzi hizo mimi na jamaa zangu tulikuwa tuna ratiba nzima. Ilikuwa kila siku za juma3 had ijumaa kuanzia saa 15:00H - 18:00H channel 10, tv Mozambique, TIM, ITV na Agape TV walitupa...
13 Reactions
117 Replies
7K Views
Nimetazama hii movie 🎥 🍿, dah najuta mzee kupoteza muda wangu. Kwanza nilipoona tu director ameshirikisha wahindi nikaweka doubt ila nikajikaza kwasababu najua star wa movie ni mzee mzima Liam...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Diamond Platnumz, msanii namba moja wa muziki Afrika Mashariki na mwanzilishi wa lebo ya WCB Wasafi, amethibitisha mara nyingi kuwa ana "jicho la kipekee" linapokuja kwenye kugundua na kukuza...
1 Reactions
2 Replies
523 Views
Back
Top Bottom